Safari ya kuelekea utumwani kwa Miaka Mitano ndio imeanza?

Albedo

JF-Expert Member
Feb 24, 2008
5,559
1,452
Miezi Miwili baada ya Uchaguzi Mkuu kuna Mambo Kadhaa yametokea ambayo kwa kweli yanagusa Maisha ya Watanzania Directly or Indirectly

1: Mgao Mkali kuwahi kutokea Nchi Nzima wa Umeme
2: Dowans Kushinda kesi dhidi ya TANESCO kuamuriwa TANESCO iilipe DOWANS zaidi ya Shiling bilioni 18.5 kama Fidia
3: Kupanda kwa Gharama za Umeme kwa 18.5%

Hayo yote yanamgusa Mwananchi moja kwa moja kwa Sabani ni Kodi yake itakayotumika

Tukumbuke kwamba Watanzania walipewa nafasi ya Kufanya Mabadiliko hapo Mwezi November lakini wao wakafanya Maamuzi yanayowagharimu leo

Sasa kutokana na Kiburi cha wananchi ni sahihi Kufananisha Shida/Tabu na Safari waliyopelekwa wana wa Israel Utumwani Misri?
 
Mkuu,safari yenyewe imeanza kwa kasi ya ajabu(sijui ndo ile ya mkulu,kasi zaidi?).siiombei mabaya nchi yangu,ila ni vema matatizo yakazidi ili wadanganyika 'tutie akili' maana tumekuwa mazuzu,tulipewa nafasi tukaitumia vibaya,ZIDUMU FIKRA ZA JK!
 
Actually tunalipia makosa ya baadhi ya wenzetu ambao walishindwa kuelewa maana ya mabadiliko.
Mbaya zaidi ni kwamba with that much raise in electricity prices, kila kitu kitapanda bei, na watakaoumia zaidi ni wale wenye vipato vya chini zaidi, ambapo wengi wao ndio walioipigia kura ccm..
Too bad!
 
Halafu world bank wanasema uchumi wetu umekuwa, hapa sielewi kabisaaaaaa, au nao wanachakachua?
 
Miezi Miwili baada ya Uchaguzi Mkuu kuna Mambo Kadhaa yametokea ambayo kwa kweli yanagusa Maisha ya Watanzania Directly or Indirectly

1: Mgao Mkali kuwahi kutokea Nchi Nzima wa Umeme
2: Dowans Kushinda kesi dhidi ya TANESCO kuamuriwa TANESCO iilipe DOWANS zaidi ya Shiling bilioni 18.5 kama Fidia
3: Kupanda kwa Gharama za Umeme kwa 18.5%

Hayo yote yanamgusa Mwananchi moja kwa moja kwa Sabani ni Kodi yake itakayotumika

Tukumbuke kwamba Watanzania walipewa nafasi ya Kufanya Mabadiliko hapo Mwezi November lakini wao wakafanya Maamuzi yanayowagharimu leo

Sasa kutokana na Kiburi cha wananchi ni sahihi Kufananisha Shida/Tabu na Safari waliyopelekwa wana wa Israel Utumwani Misri?



Nchi hii watu bado wanamudu gharama za maisha, ndiyo maana hawako tayari kuleta mabadiliko.

Lakini itakapotokea DHIKI KUU hapo ndipo watakapohitaji mabadiliko makubwa.
 
Miezi Miwili baada ya Uchaguzi Mkuu kuna Mambo Kadhaa yametokea ambayo kwa kweli yanagusa Maisha ya Watanzania Directly or Indirectly

1: Mgao Mkali kuwahi kutokea Nchi Nzima wa Umeme
2: Dowans Kushinda kesi dhidi ya TANESCO kuamuriwa TANESCO iilipe DOWANS zaidi ya Shiling bilioni 18.5 kama Fidia
3: Kupanda kwa Gharama za Umeme kwa 18.5%

Hayo yote yanamgusa Mwananchi moja kwa moja kwa Sabani ni Kodi yake itakayotumika

Tukumbuke kwamba Watanzania walipewa nafasi ya Kufanya Mabadiliko hapo Mwezi November lakini wao wakafanya Maamuzi yanayowagharimu leo

Sasa kutokana na Kiburi cha wananchi ni sahihi Kufananisha Shida/Tabu na Safari waliyopelekwa wana wa Israel Utumwani Misri?


Mwanangu wewe una Mungu! Unakimbizwa na Vifaru vyangu bado wameshindwa kukukamata!
 
na bado huo ni mwanzo tu, kwani wanajua wameingia hapo kwa kuchakachua hivyo wanahasira na nyie. Mwenzenu nilisha apa kamwe sinta kanyaga ardhi ya tanganyika mpaka mkwere baradhuli aondoke madarakani. Kwa maana jinsi nanavyo mchukia naweza hata fanya jambo la hatari zaidi. I WISH HIM VERY PAINFUL DEATH.
 
Hayo yote yanamgusa Mwananchi moja kwa moja kwa Sabani ni Kodi yake itakayotumika

Tukumbuke kwamba Watanzania walipewa nafasi ya Kufanya Mabadiliko hapo Mwezi November lakini wao wakafanya Maamuzi yanayowagharimu leo

Sasa kutokana na Kiburi cha wananchi ni sahihi Kufananisha Shida/Tabu na Safari waliyopelekwa wana wa Israel Utumwani Misri?

Kwanini wananchi wawe na kiburi cha kukataa mabadiliko yatakayowaletea maendeleo na ustawi wa taifa na maisha yao binafsi?kwanini tusione kuwa yawezekana wananchi hawa ni wenye ufahamu kuliko tunavyowadhania na kuwa waliamua kuchagua "chongo" miongoni mwa "vipofu"?
 
Halafu world bank wanasema uchumi wetu umekuwa, hapa sielewi kabisaaaaaa, au nao wanachakachua?



Sio wewe tu!! hata mchungaji wako Slaa haelewi mambo ya uchumi, Prof Lipumba na wengine kama sisi ndio tunaoelewa, we fuata chadema hakuna mtaalam wa uchumi atakae kusaidia, labda ukitaka msaada wa bibilia.
 
Miezi Miwili baada ya Uchaguzi Mkuu kuna Mambo Kadhaa yametokea ambayo kwa kweli yanagusa Maisha ya Watanzania Directly or Indirectly

1: Mgao Mkali kuwahi kutokea Nchi Nzima wa Umeme
2: Dowans Kushinda kesi dhidi ya TANESCO kuamuriwa TANESCO iilipe DOWANS zaidi ya Shiling bilioni 18.5 kama Fidia
3: Kupanda kwa Gharama za Umeme kwa 18.5%

Hayo yote yanamgusa Mwananchi moja kwa moja kwa Sabani ni Kodi yake itakayotumika

Tukumbuke kwamba Watanzania walipewa nafasi ya Kufanya Mabadiliko hapo Mwezi November lakini wao wakafanya Maamuzi yanayowagharimu leo

Sasa kutokana na Kiburi cha wananchi ni sahihi Kufananisha Shida/Tabu na Safari waliyopelekwa wana wa Israel Utumwani Misri?

Wananchi walifanya mabadiliko lakini NEC ya CCM iliya-negate.
Tusiwalaumu wananchi bana!
 
Kwanini wananchi wawe na kiburi cha kukataa mabadiliko yatakayowaletea maendeleo na ustawi wa taifa na maisha yao binafsi?kwanini tusione kuwa yawezekana wananchi hawa ni wenye ufahamu kuliko tunavyowadhania na kuwa waliamua kuchagua "chongo" miongoni mwa "vipofu"?

Ni kweli unakusudia unachokisema? au kejeli tu?

Sawa mkuu, endeleza utani! Ila mlalahoi anaumia na anataka mtetezi.
 
Miezi Miwili baada ya Uchaguzi Mkuu kuna Mambo Kadhaa yametokea ambayo kwa kweli yanagusa Maisha ya Watanzania Directly or Indirectly

1: Mgao Mkali kuwahi kutokea Nchi Nzima wa Umeme
2: Dowans Kushinda kesi dhidi ya TANESCO kuamuriwa TANESCO iilipe DOWANS zaidi ya Shiling bilioni 18.5 kama Fidia
3: Kupanda kwa Gharama za Umeme kwa 18.5%

Hayo yote yanamgusa Mwananchi moja kwa moja kwa Sabani ni Kodi yake itakayotumika

Tukumbuke kwamba Watanzania walipewa nafasi ya Kufanya Mabadiliko hapo Mwezi November lakini wao wakafanya Maamuzi yanayowagharimu leo

Sasa kutokana na Kiburi cha wananchi ni sahihi Kufananisha Shida/Tabu na Safari waliyopelekwa wana wa Israel Utumwani Misri?

Kweli Albedo, ila ikifikia hatua wananchi DHIKI KUU imebisha hodi subiri 1 yr kuanzia sasa utaona, just subiri moto utawaka kuliko hiyo avatar yako inayonichekesha hadi huwa nakukumbuka, wape wananchi huu mwaka ujao 2011 moto sijui nani atauzima kwa ugumu wa maisha, just wait utasema aaaaaaaaaaahhhhhh punda kakataa kubeba mzigo, mateke yanaanza
 
Ni kweli unakusudia unachokisema? au kejeli tu?

Sawa mkuu, endeleza utani! Ila mlalahoi anaumia na anataka mtetezi.

Uchaguzi ule haukuwa juu ya wagombea tu bali zaidi juu ya chama kitakachopewa kuongoza taifa hili katika kipindi cha 210-15; bahati mbaya sana Chadema, CUF na NCCR bado havijajionyesha kuweza kulifanya hilo.
 
Mabadiliko ni lazima, lazima kuwepo na uhamasishaji hasa vijijini ambako CCM ndio wanategemea na ndio wanapata ushindi wao wakijumlisha na uchakachuaji, Huko vijijini hawana umeme....kwa hiyo kupanda kwa bei ya umeme hakuwaathiri moja kwa moja, sina uhakika kama wanakunywa soda au beer na hivyo upandaji wa bei ya vitu kama hivyo kwao hauna direct effect, wanahitaji kuelimishwa kwama bei ya kusaga nafaka, bei ya kusafirisha mazao yao, bei ya kila kitu itapanda kwa sababu ya umeme na mafuta.
Hali ni mbaya something has to be done urgently
Nasikia serikali haina pesa kabisa ilikuwa mbinde hata kulipa mishahara ya December, na wana madeni kibao, government bonds walizouza zimesha 'mature' na hawawezi kuzilipia, tuendako naona giza Mungu wa kweli tunusuru na mkwere
 
Du Kweli hii Safari sasa imewiva

"Mimi kama Mwanasheria Mkuu wa Serikali nimeisoma hukumu hiyo kwa makini na nimeridhika nayo kuwa iko sawa," alisema Jaji Werema.

Ila Ole wenu

"Kwa hukumu hii siwezi kusema tutalivalia njuga suala la Dowans maana kwa hukumu hii hata ukiivalia hiyo njuga itafikia mahalai njuga hizo zitakatika tu," alisisitiza Jaji Werema.

Sitta Unaisikia Hii?

Mwanasheria huyo Mkuu wa Serikali alieleza kushangazwa na kejeli na malalamiko yanayotolewa na watu mbalimbali juu ya uamuzi huo akidai kuwa hao wanaopiga kelele sasa wakipinga uamuzi huo ndio baadhi yao walikuwa wakipiga kelele kuishinikiza serikali kuvunja mkataba na Dowans.

Kazi Kwetu Watanzania, Tukubali kuburuzwa Kwenda Misri au Tumgeukie Muumba na Kurejea Kaanani
Ingawa hakuweza kuainisha aina ya upotoshaji huo, lakini Jaji huyo alisema kwa mujibu wa rekodi, Dowans ilisajiliwa Costa Rica na kwamba inaonesha kuwa Rostama Aziz (Mbunge wa Igunga) alipewa nguvu ya kisheria tu.
 
na bado huo ni mwanzo tu, kwani wanajua wameingia hapo kwa kuchakachua hivyo wanahasira na nyie. Mwenzenu nilisha apa kamwe sinta kanyaga ardhi ya tanganyika mpaka mkwere baradhuli aondoke madarakani. Kwa maana jinsi nanavyo mchukia naweza hata fanya jambo la hatari zaidi. I WISH HIM VERY PAINFUL DEATH.

Wapi wewe huna nauli ya kurudi kwenu unamsingizia rais wa wananchi wa Tanzania

Acha chuki unajiumiza bure, imenenwa kuwa ukubwa unatoka kwa Mungu
 
Back
Top Bottom