KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,126
- 32,817
Sasa mkuu..unasema boda boda ni hukumu ya kifo ni kutukatisha tamaa vijana..mimi nipo kwenye boda boda mwaka wa 3..sasa na kwa kazi hii namudu kuwatunza mama yangu na wadogo zangu....INGEKUWA POA ungetutajia hizo fursa..mkuu..lakini kiukweli vijana hatuna jinsi na hatuna njia nyingine ya kujipatia ridhiki hasa kwa sisi wenye elimu ya ngumbalu..