kwahiyo " hapo ndio' umeshajadili hoja iliyopo mezani"""? ...watu wengine bwanaMtapata taabu sanaa
Aiseeekuwa mpinzani africa inahitaji moyo! zaidi ya kupata PHD ya chemistry
Na wote tukihamia ndani lazima fukuto litazidi..... ebu fikiria kitakachotokea baada ya hapo....Baki Chadema upigwe baridi au hamia CCM ukaonyeshe kipaji chako cha uongozi,..mimi nachagua Option ya pili.
Ndipo maneno ya mwalimu yatakapotimia upinzani wa kweli na wenye baraka utatoka CCM.sio huu wa kibaguzi wa akina Lowassa wenye laana.Na wote tukihamia ndani lazima fukuto litazidi..... ebu fikiria kitakachotokea baada ya hapo....
Na endapo upinzani wote wakiamuaa kuhamia CCM je wote watapata vyeo?Wapinzani kwa sasa mna machaguo (option) mbili tu.aidha mtapata tabu sana au mtapata raha sana.ni wavumilivu tu watakaopita katika wimbi hili.
Tanzania kwa sasa inapitia katika mabadiliko makubwa ya kisiasa kuliko ya kiuchumi naomba tujadili kama watanzania tunaelekea katika siasa za mfumo upi? Je tutaweza kuwa na ushindani wa kisiasa katika chaguzi mbalimbali? Je tunajua madhara ya utaratibu unaofanyika hivi sasa kwa baadae.
Karibuni wanachama wenzangu wa JF mtoe mawazo yenu.
Ahsanteni!
Ajabu sanaa.halafu ukiwauliza tangu waanze hiyo biashara ya binadamu wameongeza nini kwenye uchumi wetu/viwanda vyetu hakuna majibuAkili ya mtu mmoja inaamini inaweza kuua upinzani katika nchi hii.
Yule jamaa ni mpuuzi sana.Ajabu sanaa.halafu ukiwauliza tangu waanze hiyo biashara ya binadamu wameongeza nini kwenye uchumi wetu/viwanda vyetu hakuna majibu
Upinzani wote unamaana na wananchi wanaoviunga mkono vyama vya upinzani una maana gani?Na endapo upinzani wote wakiamuaa kuhamia CCM je wote watapata vyeo?
Watapata tabu sana..
Tutapata tabu sana.Mtapata taabu sanaa
Na ndo ujinga wa chama cha mbongamboga kudhani ati hakuna wananchi wanao amini katika mfumo wA vyama tofauti.yani kwao viongozi wa upinzani ndo upinzani wenyewe,kwamba kwa waitara kurudi kwao basi ukonga nzima ni waamini wa chama cha mboga mbogaUpinzani wote unamaana na wananchi wanaoviunga mkono vyama vya upinzani una maana gani?
Ni upuuziNa ndo ujinga wa chama cha mbongamboga kudhani ati hakuna wananchi wanao amini katika mfumo wA vyama tofauti.yani kwao viongozi wa upinzani ndo upinzani wenyewe,kwamba kwa waitara kurudi kwao basi ukonga nzima ni waamini wa chama cha mboga mboga
Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
HahahahahaTutapata tabu sana.
Mithali 1:7 Inasemaje?Mithali 1:7