Safari ya David Beckham Tanzania

Cesc Henry Sn

JF-Expert Member
Nov 8, 2012
217
123
Habari wakuu,

Mwishoni mwa wiki iliyo pita kulikuwa nna tetesi jamaa kutembelea TZ ila haikuwa na uhakika kutokana na picha zilizo kuwa zinasambaa mitandaoni kuto jitosheleza kama ni kweli yuko hapa au nchi jirani hadi ilipo thibitishwa.

Cha kusikitisha serikali yetu upande wa wenye dhamana ya kusimamia maswala ya utalii walishindwa nini kutumia nafasi kumkaribisha hata kama alikuja kisiri siri ili kupata nafasi tukamtumia kututangaza nchi yetu hasa kwa yeye mwenye wafuasi milioni 37 kwenye mtandao wa Instagram huku watu maarufu kama Ronaldinho wakicomment kwenye post hizo

Sababu kinacho tia aibu ni hata post zake kwenye mtandao wa Instagram haja mention hata kidogo wapi alipo zaidi ya kusifia na kufurahishwa na mandhari aliyo kuwepo.

 
Uyu Jamaa anawivu sijui lkn wa Tz wamemfollow naku kuonyesha watu kuwa yupo Tanzania ila bado aitoshi tuongeze juhudi wataelewa tuuh
 
Habari wakuu,

Mwishoni mwa wiki iliyo pita kulikuwa nna tetesi jamaa kutembea TZ ila haikuwa na uhakika kutokana na picha zilizo kuwa zinasambaa mitandaoni kuto jitosheleza kama ni kweli yuko hapa au nchi jirana hadi ilipo thibitishwa.

Cha kusikitisha serikali yetu upande wa wenye dhamana ya kusimamia maswala ya utalii walishindwa nini kutumia nafasi kumkaribisha hata kama alikuja kisiri siri ili kupata nafasi tukamtumia kututangaza nchi yetu hasa kwa yeye mwenye wafuasi milioni 37 kwenye mtandao wa Instagram huku watu maarufu kama Ronaldinho wakicomment kwenye post hizo

Sababu kinacho tia aibu ni hata post zake kwenye mtandao wa Instagram haja mention hata kidogo wapi alipo zaidi ya kusifia na kufurahishwa na mandhari aliyo kuwepo.


ngoja waje
 
Yaani unataka akufanyie promotion bure ?wakati yy kaingia gharama za safari ya kutalii

Hata kama sio kupromote bure, ila jamaa zetu wangekuwa wanajua kutumia fursa kwanini wasimfanyie bure kila sehemu atakayo tembelea... Tutakuwa tumeingiza mangapi?
 
Hata kama sio kupromote bure, ila jamaa zetu wangekuwa wanajua kutumia fursa kwanini wasimfanyie bure kila sehemu atakayo tembelea... Tutakuwa tumeingiza mangapi?
Yy becks ametaka safari iwe na privacy kwake pesa sio issue, kumbuka issue kama usalama wake na family
 
Angefanya promotion jamani,Beckam selfish sana aisee
Hata hivyo amefanya inderect kile kitendo cha kuweka picha na watu kucomment sio mbaya , mbona will smith , abromovich hawakuweka picha walivyokuja ? No one knows kama walifika bongo
 
Acheni kulalma bila kujua sababu za kuficha location yake. Na pia kabla ya kulaumu serekali mjue kwamba hajaja bongo kama ajali ni promo zimemleta bila shaka. So kwanza mjipongeze kwa Becks kuja bongoland
 
Kuna mikataba mingi wanaingia wakiwa sehemu.. Amekuja kupumzika na hakutaka yeyote ajue kuwa yupo hapa.. . wengi sana wanakuja kmyakmya
 
Hata kama sio kupromote bure, ila jamaa zetu wangekuwa wanajua kutumia fursa kwanini wasimfanyie bure kila sehemu atakayo tembelea... Tutakuwa tumeingiza mangapi?
Ameshalipia gharama zote mpaka za kiberiti atakachotumia hata mwezi mzima kabla hajaja.. Kuja ni kukamilisha ratiba tu... Tungeinitiate deal kuanzia yupo kwao huko ndo tungekua tumefanya la maana
 
Maafisa utalii wamekalia viti vyao mpaka vitambi vimeota wamekosa ubunifu Leo hii ndio David Beckham anasubiriwa kutangazia vivutio vya utalii pengine ametaka ziara yake iwe private
 
Uache kutangaza kilicho chako usubiri wapita njia?
Waliopo wamezoea na wameichoka kazi wapumzishwe ije nguvu mpya yenye morali wa kazi na ubunifu mpya
 
_20170605_113751.JPG

Mwingine HUYU HAPA
 
Hiv kumtumia Beks kwenye promo mnaweza kumlipa hiyo pesa?na kufanya primo sio lazima aje Tz ni kuonekana kwenye matangazo tu!Hivo nagasi ya kuongea naye hilo dili iko waz..tatizo tunaweza kumlipa na hela zetu za madafu?
 
Back
Top Bottom