SAFARI YA DAR TO BUKOBA

ankai

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2017
Posts
3,282
Reaction score
4,260
Natarajia kusafiri next week niltarajia ningesafiri na na private car lakini haitawezekana maana gari imepata matatizo kidogo, ivyo basi kama kuna mtu anayetaka kusafiri kutoka Dar kwenda bkb na gari lake,, na anahofia kuendesha peke yake njiani coz hii ni safari ndefu more than km 1530. basi anichek inbox pm ili tuyajenge namaanisha tupange siku ya safari mimi nitaendesha gari yani nitamuendesha mpaka bkb nina uzoefu wa kutosha Now ni mwaka wa tano nafanya izi safari kwa walio Serious mnipm siitaji malipo
 
[emoji23] [emoji23] Mkuu unapenda magari ya watu utalazwa kwenye majani katikati ya safari, kwani ukienda bila kuendesha utapungua uzito au utachomokewa Korodani?
 
Nisamehe mkuu.
Kwanza iyo sentensi umeielewa mimi mwenyewe nliendika nimeisoma mara ya pili na sijaielewa asee izi smartphone ni za ajabu
 
Kwanza iyo sentensi umeielewa mimi mwenyewe nliendika nimeisoma mara ya pili na sijaielewa asee izi smartphone ni za ajabu
Najua ulitaka kuandika mchaga!! kawaida mbona. Mi siyo mwarimu wa kiswahili kubwa nielew ulichokimaanisha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…