Saed Kubenea: Wanataka kutangaza matokeo ya Urais kwanza

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,196
25,516
Kufuatia sintofahamu juu ya kutangazwa kwa matokeo ya Ubunge,jimbo la Ubungo,mgombea wa CHADEMA/UKAWA Saed Kubenea amesema kuwa Tume inataka itangaze kwanza ya Urais kabla ya Ubunge.

Akizungumza na wananchi,katika viunga vya UDSM,Kubenea amedai kuwa hana shaka haki itatendeka. Kubenea amesisitiza kuwa matokeo ya Ubunge yanapaswa kuanza kutangazwa na si ya Urais. Kwasasa wananchi wametawanywa kwa amri ya polisi.
 
Namuomba Mungu Ombi hili "yeyote atakayeshiriki zoezi la wizi wa kura ama kupiga watanzania katika harakati zao kutafuta mabadiliko kwa amani kabisa, apate mapigo na asisimame tena"
Bahati nzuri au mbaya Mungu huwa hahusiki na visasi visivyo na kichwa wala miguu. Utakuta hata huyo anayelalamika kuibiwa naye aliwaibia wengine mpaka akapata hiyo nafasi ya kuteuliwa kugombea. Mungu hapo atashughulika na yupi? Karma!
 
Kufuatia sintofahamu juu ya kutangazwa kwa matokeo ya Ubunge,jimbo la Ubungo,mgombea wa CHADEMA/UKAWA Saed Kubenea amesema kuwa Tume inataka itangaze kwanza ya Urais kabla ya Ubunge.

Akizungumza na wananchi,katika viunga vya UDSM,Kubenea amedai kuwa hana shaka haki itatendeka. Kubenea amesisitiza kuwa matokeo ya Ubunge yanapaswa kuanza kutangazwa na si ya Urais. Kwasasa wananchi wametawanywa kwa amri ya polisi.
Nilimsikia mbunge mteule Joshua Nasari akisema taratibu za Tume ya Uchaguzi ni kutangaza kura za Rais kwanza na kuzibandika kabla ya kutangaza matokeo ya ubunge. Haya yameungwa mkono pia na returning officer wa Arumeru mashariki.
 
Kubenea anasubiri matokeo ya kata 2 Tu Ili amalize biashara. Kwa sasa anaongoza!
 
Kufuatia sintofahamu juu ya kutangazwa kwa matokeo ya Ubunge,jimbo la Ubungo,mgombea wa CHADEMA/UKAWA Saed Kubenea amesema kuwa Tume inataka itangaze kwanza ya Urais kabla ya Ubunge.

Akizungumza na wananchi,katika viunga vya UDSM,Kubenea amedai kuwa hana shaka haki itatendeka. Kubenea amesisitiza kuwa matokeo ya Ubunge yanapaswa kuanza kutangazwa na si ya Urais. Kwasasa wananchi wametawanywa kwa amri ya polisi.

This is silly; hiyo ndiyo sheria inavyotaka jamani. Mbona hili tumelisema muda mrefu.
 
Bahati nzuri au mbaya Mungu huwa hahusiki na visasi visivyo na kichwa wala miguu. Utakuta hata huyo anayelalamika kuibiwa naye aliwaibia wengine mpaka akapata hiyo nafasi ya kuteuliwa kugombea. Mungu hapo atashughulika na yupi? Karma!

Ndo maana kwenye ombi lake hajataja ni nani anayeiba na anayeibiwa
 
Aliekaribu na Saed Kubenea anisaide kumjulisha kuwa yule "Msaliti" Zitto kabwe tayari ni Mbunge na Pia kapata Madiwani wengi wa kuweza kuongoza Halmashauri.
 
Namuomba Mungu Ombi hili "yeyote atakayeshiriki zoezi la wizi wa kura ama kupiga watanzania katika harakati zao kutafuta mabadiliko kwa amani kabisa, apate mapigo na asisimame tena"

Mabadiliko ysko ccm, chadema diliiiii!
 
Back
Top Bottom