Tetesi: Saed Kubenea kurudi Chadema

Tetesi: Saed Kubenea kurudi Chadema

Saed Kubenea wiki ijayo atatambulishwa rasmi Chadema.

Yeye pamoja na viongozi wengine waandamizi wa vyama mbalimbali watatangazwa rasmi wiki ijayo kama nilivyodokezwa jioni ya leo.
Kwa sasa chadema watajiunga watu wengi sana, hasa baada ya upande ule wa Kambi ya mbowe kukimbia chama...Anton komu ameshajiunga rasmi chadema
 
Saed Kubenea wiki ijayo atatambulishwa rasmi Chadema.

Yeye pamoja na viongozi wengine waandamizi wa vyama mbalimbali watatangazwa rasmi wiki ijayo kama nilivyodokezwa jioni ya leo.
Yule mwamba wa kilimanjaro vijijini kasharudi......simkumbuki jina
 
Amewahi kuweka uwazi gani kuhusu familia yake iliyopo ulaya na mipango waliyonayo na watu wa ulaya?!!!! Kama hajawahi basi nyumbu kaa kimya.
familia yake inakuhusu nini au unataka uwe mke mdogo mshangazi
 
Saed Kubenea wiki ijayo atatambulishwa rasmi Chadema.

Yeye pamoja na viongozi wengine waandamizi wa vyama mbalimbali watatangazwa rasmi wiki ijayo kama nilivyodokezwa jioni ya leo.
Yeye pamoja na viongozi wengine waandamizi wa vyama mbalimbali watatangazwa rasmi wiki ijayo kama nilivyodokezwa jioni ya leo.📌🔨✌🏿
 
Chadema kiwe makini na mamluki wa CCM watakao letwa kuhujumu mabadiliko na kuanza kukipasua chama

Ikiwezekana Lissu akitoka aunde kamati ya watu very potential na waadilifu tofauti na kamati kuu kwa ajili ya kutunza Siri za chama!!

Hakuna haja ya kila mtu kuwa na access ya kila Jambo linaloendelea ndani ya chama

Hatutaki mambo ya kina Lowassa,Sumaye na Nyarandu kujirudia
Mkuu ondoa shaka,chama ndo kimerudi kuwa chama...akuna asiejitambua pale....hakika wakati ni sasa.
 
Saed Kubenea wiki ijayo atatambulishwa rasmi Chadema.

Yeye pamoja na viongozi wengine waandamizi wa vyama mbalimbali watatangazwa rasmi wiki ijayo kama nilivyodokezwa jioni ya leo.
Kwahiyo zile hela alizochukua kipindi kile anaondoka anazilejeaha au anaziweka kwenye tone tone?
 
My prayer to mtu makini kabisa the most Reverend Bishop of Alba Gwajima the President
 
Saed Kubenea wiki ijayo atatambulishwa rasmi Chadema.

Yeye pamoja na viongozi wengine waandamizi wa vyama mbalimbali watatangazwa rasmi wiki ijayo kama nilivyodokezwa jioni ya leo.
Itakua ni ulofa katika siasa kujiunga na chama kisicho na agenda wala sifa za kikatiba kushiriki Uchaguzi.
Thus useless and completely nonsense ndrugu zango 🐒
 
Mpaka unajionea aibu!
ni vizur kuwaonea huruma watu wa kukurupuka kilofa kama inavyodai tetesi kwamba kuna jitu lisilo na maono wala malengo ya kisiasa linajiunga kwenye chama ambacho haijulikani ni sacoss au chama cha kiraia kisicho na malengo ya kisiasa 🐒
 
nami ningependa chadema isipokee watu wakuja hasa kwenye kipindi hiki, wanaotaka kutoka watoke muda wowote na wasirudi,

itasaidia kubaki pure zaidi siku hadi siku
 
Saed Kubenea wiki ijayo atatambulishwa rasmi Chadema.

Yeye pamoja na viongozi wengine waandamizi wa vyama mbalimbali watatangazwa rasmi wiki ijayo kama nilivyodokezwa jioni ya leo.
Huyo sijawahi kumwelewa anasimamia wapi katika maswala nyeti ya chama.
Kwa hiyo sasa hivi natahadhalisha tu kuwaangalia kwa jicho la karibu sana baadhi ya hawa watu, wasioeleweka kama ni ndege au wanyama (popo).
Kila mtu ajitambulishe kwa vitendo yake ndani ya chama
 
Njooni tukijenge chama.
EEEeeeenHEEEEEEeee!

Unanipa nafasi ya kukuliza swali ambalo nimeliweka akiba kwa muda sasa.

Lile gari lenye bodi kuukuu, na injini mpya, bila shaka nalo utalikaribisha kuja kujenga chama!

Swali lenyewe ni hili: Hilo gari halijaonekana kwa muda sasa; na si rahisi wakati kama huu lisionekane barabarani. Unajuwa lililipo?
Unajuwa mambo yanakwenda haraka sana nyakati hizi, kiasi kwamba unaweza hata kukosa kufuatilia kwa karibu zaidi yaliyoko huko ndani ya CCM chini kwa chini.
Kaonekana kwenye msiba?
 
Back
Top Bottom