Benson Mramba
JF-Expert Member
- Oct 29, 2013
- 766
- 1,884
Kwenye G55 unaweza kumlinganisha na nani pale?kubenea ni spent force, hana mvuto wowote...
Kwenye G55 unaweza kumlinganisha na nani pale?kubenea ni spent force, hana mvuto wowote...
Unatoa wap uhalali wa kumwita mwanadamu shetani?Siyo shetani kama ulivyo wewe.
Wengi humu mkuu watoto na wanakaa vijiwenihifadhi hii post. tafadhali hifadhi.
unaulizia mabwana za watu wakwako hakutoshi mshangaziMbona umepanic nyumbu?!!! Tunauliza tu tujue kuwa mwenyekiti wetu anayechukua nchi mwezi oktoba mbona anatunzwa ulaya?!!!!
Sasa haya matusi yanakuzuiaje na ufirwaji nyumbu?!!!unaulizia mabwana za watu wakwako hakutoshi mshangazi
Ushaambiwa hakuna uchaguziItakua ni ulofa katika siasa kujiunga na chama kisicho na agenda wala sifa za kikatiba kushiriki Uchaguzi.
Thus useless and completely nonsense ndrugu zango 🐒
Mnyika ni mwanafunzi mtiifu wa Dr Slaa wala sio Mbowe,sidhani kama Mnyika atasepaUnapata wapi ujasiri wa kumweka Mnyika kwenye orodha kama hiyo!
Sasa huko CHADEMA mbali ya Tundu Lissu, John Heche utamwamini nani kama unamtilia mashaka Mnyika.
Wewe unadhani kubaki kama Katibu Mkuu wa chama ilikuwa uteuzi wa kubahatisha?
kubebwa ufala kifikra na vibaka wa siasa ni ulofa wa kiwango kibaya sana gentleman, pole lakiniUshaambiwa hakuna uchaguzi

Katika watu wenye 'commitment' na kitu, na kukitafuta, ni Mnyika.Mnyika ni mwanafunzi mtiifu wa Dr Slaa wala sio Mbowe,sidhani kama Mnyika atasepa
Mwishowe utazoea kujibishana nami. Huwa sina muda wa kupoteza na watu wa aina yako.Unatoa wap uhalali wa kumwita mwanadamu shetani?
Sawa Malaika usie na bikra
Huyu kaishiwa na ni changudoa wa kisiasa kama kabwa zittoSaed Kubenea wiki ijayo atatambulishwa rasmi Chadema.
Yeye pamoja na viongozi wengine waandamizi wa vyama mbalimbali watatangazwa rasmi wiki ijayo kama nilivyodokezwa jioni ya leo.
Wala si mwanasisa bali msanii uchwara tena mbumbumbu wa kawaida mchumia tumboKwani Saed anarud CDM akitokea wapi?
He was CDM all along, alipoona tonge linaenda kwa Boni yai akaenda ACT..
Hamuwajui wanasiasa vizur
Huwa kwenye Siasa wanasema hakuna adui wa kudumu,kama Wilbroad Slaa pamoja na kuandika kitabu kukikashifu chama amerudishwa,na kwa Siasa zetu za njaa fc kukosa mamluki ni ngumu sanaChadema kiwe makini na mamluki wa CCM watakao letwa kuhujumu mabadiliko na kuanza kukipasua chama
Ikiwezekana Lissu akitoka aunde kamati ya watu very potential na waadilifu tofauti na kamati kuu kwa ajili ya kutunza Siri za chama!!
Hakuna haja ya kila mtu kuwa na access ya kila Jambo linaloendelea ndani ya chama
Hatutaki mambo ya kina Lowassa,Sumaye na Nyarandu kujirudia
Ulijileta ukiwa unawashwaMwishowe utazoea kujibishana nami. Huwa sina muda wa kupoteza na watu wa aina yako.
Ukichimama nchale ukikaa nchaleSaed Kubenea wiki ijayo atatambulishwa rasmi Chadema.
Yeye pamoja na viongozi wengine waandamizi wa vyama mbalimbali watatangazwa rasmi wiki ijayo kama nilivyodokezwa jioni ya leo.
Kicheko pekee kinafaa kwa mtu kama wewe.Ulijileta ukiwa unawashwa
Nani alikuambia unijibu wewe dogo?
Chadema kiwe makini na mamluki wa CCM watakao letwa kuhujumu mabadiliko na kuanza kukipasua chama
Ikiwezekana Lissu akitoka aunde kamati ya watu very potential na waadilifu tofauti na kamati kuu kwa ajili ya kutunza Siri za chama!!
Hakuna haja ya kila mtu kuwa na access ya kila Jambo linaloendelea ndani ya chama
Hatutaki mambo ya kina Lowassa,Sumaye na Nyarandu kujirudia