GTA
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 878
- 649
"Toka aliyekuwa mume wa Zari kufariki, familia ya Ivan imeingia kwenye vita kali na Zari baada ya kusema kuwa yeye ndio amesababisha ndugu yao akaishi kwa depression kwa muda wote huo.
Tazama video
Baba ake Ivan ameeenda mbali zaid na kusema kuwa Zari aliweka kambi hospitali kusubiri tu mtoto wao afe ili ajimilikishe mali.
Habari hizo zimemfikia Mange kimambi nae akaamua kuandika haya;
Unaambiwa Zari anasema yeye bado ni mke wa Ivan unaambiwa mpaka anasema huyu mtoto wa mwisho Nillah ni wa Ivan huko kwenye vikao vya familia…Lakini to be fair Zari ana haki ya kupewa mali za wanae sasa Hivi sio mpaka wawe wakubwa. Yeye ni mama yao, Ila Zari nae asitake na yeye apewe sabbau alisha move on na life yake,yeye apewe cha watoto basi Na akumbuke kuwa kisheria wazazi wa Ivan na wao wana haki ya kurithi.
Credit: e-pepa.com
Tazama video
Baba ake Ivan ameeenda mbali zaid na kusema kuwa Zari aliweka kambi hospitali kusubiri tu mtoto wao afe ili ajimilikishe mali.
Habari hizo zimemfikia Mange kimambi nae akaamua kuandika haya;
Unaambiwa Zari anasema yeye bado ni mke wa Ivan unaambiwa mpaka anasema huyu mtoto wa mwisho Nillah ni wa Ivan huko kwenye vikao vya familia…Lakini to be fair Zari ana haki ya kupewa mali za wanae sasa Hivi sio mpaka wawe wakubwa. Yeye ni mama yao, Ila Zari nae asitake na yeye apewe sabbau alisha move on na life yake,yeye apewe cha watoto basi Na akumbuke kuwa kisheria wazazi wa Ivan na wao wana haki ya kurithi.
Credit: e-pepa.com