Mupirocin
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,739
- 744
Mi nafikiri kaka ungemshauri tu abadili course coz kwa maisha ya sasa watu wamchangie 4m na maisha ya sasa yalivyo dah naona dada ataishi maisha magumu sana dsm nafikiri aachane na law atafute temple afundishe na mwakani aombe education ili aweze pata elimu na kama atahitaji kusoma law akiwa na kazi ajiendeleze kutimiza ndoto yake if she is 20 yrs then still is young it take almost 7yrs that is my suggestion other wise maisha yatamshinda soon atakuwa miongoni mwa mademu watakao anikwa Jf wakiwa kwenye picha za uchi tukaanza kuwasifia kama si kuwaponda ndo taifa analotuandalia mkweere hapa piga ua uzalendo unaenda kwao huwezi nambia niwe mzalendo afu nashindwa kutimiza ndoto zangu. Kama anasimu ya huyu dada mpe ushauri huu.