Davidy okello
Member
- Sep 3, 2018
- 28
- 14
Kwann iwe udsm mkuu, afuu sikwelewi unapodema ud ndo chanzo.Sasa walioharibu utaratibu ni udsm kwel Bila kupepesa macho nao wana kiwango cha idad ya watu na Bado udsm ina dahili sa je ikatokea mwenye uhtahtaji watampa nn.. Kumbe bas Majina yangetoka mapema hakika sintofaham isingekuepo
Nao hao watumish wana wakat mgumu.. Udsm Ndio chanzo we c utaona wanafnz weng watakao pata mkopo itakuwa ni udsm
