Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,138
Kweli mkuu, tumetapakaa mtaani kiasi kwamba kwenye mishe zetu za kutafuta tonge tunakutana na wale wanafunzi wetu waliokuwa wanatuamiia kwa heshima tukiwa tumechakaa mpk ile shikamoo tena wanajistukia kuitoaAhahahah,acha uchawi mkuu
Umetafsirije kwani??