Sad News

Sad News

Muntu Ya Pori

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
222
Reaction score
64
Loan Board baada ya kutoa ile list ya waliofanikiwa kupata mkopo. Wakaweka tena vigezo vingine kwenye allocation. Kwenye kuallocate wanasema wameweka kigezo cha unatakiwa elimu yako ya sasa iwe si zaidi ya miaka mitatu tangu umalize. So watu ambao majina Yao yalitoka batch one na wako nje ya kigezo hicho hawana loan.
Source ya taarifa hii ni mazungumzo yangu na mmoja wa customer care wa heslb jioni hii
 
Mtaelewa tuuh!

Mimi kamwe siji kuwalipa watu.
 
Weka hiyo record uliyozungumza na customer care.
 
Mambo yanayofanyika nchi hii ukiwaza sana utakuwa depressed. Enzi elimu inaendeshwa na waliokuwa wanajitambua watu tulikuwa encouraged kufanya kazi at least two years kabla hujarudi masomoni kwa ngazi ya juu (mfano ukihitimu certificate unakuwa attached mahali ili upate practical experience for two years before being enrolled for diploma course).

Kama hii habari ni ya kweli basi ina maana hawatakiwi watu wanaotaka ku-upgrade qualifications zao! Ukisikia uzoba ndio huu!
 
Wy...mbona hakuna palipoandikwa uzushi huu

Weka hiyo record uliyozungumza na customer care.

Je waliosoma diploma?
Mambo yanayofanyika nchi hii ukiwaza sana utakuwa depressed. Enzi elimu inaendeshwa na waliokuwa wanajitambua watu tulikuwa encouraged kufanya kazi at least two years kabla hujarudi masomoni kwa ngazi ya juu (mfano ukihitimu certificate unakuwa attached mahali ili upate practical experience for two years before being enrolled for diploma course).

Kama hii habari ni ya kweli basi ina maana hawatakiwi watu wanaotaka ku-upgrade qualifications zao! Ukisikia uzoba ndio huu!

Kwa maana mkuu yaani ukiwa nje ya kigezo hiko hupati ata pesa ya meals and accomodation?
hicho kigezo kiliwekwa tangu mwezi mei kwamba waliomaliza diploma na form 6 kuanzia mwaka 2015 kurudi nyuma hii mikopo haiwahusu ila watu wengi hawakuelewa wakaendelea kuapply tu unaweza kupitia kwenye muongozo wao walioutoa mwezi mei kwenye page ya 3 kipengele cha 3.3(ii)
Mwongozo wa Utoaji Mikopo kwa mwaka 2018/2019
Screenshot_2018-11-01-22-51-44.png
 
hicho kigezo kiliwekwa tangu mwezi mei kwamba waliomaliza diploma na form 6 kuanzia mwaka 2015 kurudi nyuma hii mikopo haiwahusu ila watu wengi hawakuelewa wakaendelea kuapply tu unaweza kupitia kwenye muongozo wao walioutoa mwezi mei kwenye page ya 3 kipengele cha 3.3(ii)
Mwongozo wa Utoaji Mikopo kwa mwaka 2018/2019
View attachment 918390
It doesn't matter kigezo hicho kiliwekwa lini; what matters it is the logic behind it and if it has any benefit (identified or potential) to the welfare of the country.
 
It doesn't matter kigezo hicho kiliwekwa lini; what matters it is the logic behind it and if it has any benefit (identified or potential) to the welfare of the country.
binafsi sitetei kwasababu najua kinakosesha watu wengi kupata fursa ya kusoma ila ilipaswa watu walalamike tangu kilipo wekwa mwezi wa 5, ila kitendo cha kuanza kulalamika saivi inaonyesha watu hawakusoma/walipuuza sifa na vigezo vya mwombaji wa mkopo
 
na kwanini majina yawekwe kwenye listi kwamba wamepatiwa mkopo????
binafsi sitetei kwasababu najua kinakosesha watu wengi kupata fursa ya kusoma ila ilipaswa watu walalamike tangu kilipo wekwa mwezi wa 5, ila kitendo cha kuanza kulalamika saivi inaonyesha watu hawakusoma/walipuuza sifa na vigezo vya mwombaji wa mkopo
 
kigezo siyo kumnyima mkopo ila ni kupunguza kiwango alichotakiwa apewe.. hyo Ndio logic ya 3(iii)
 
Wy...mbona hakuna palipoandikwa uzushi huu
Sio uzushi! Mi ndio mwenye hilo tatizo bahati mbaya sana sikurekodi mazungumzo. Labda kama wataamua vinginevyo ila kwa jinsi nilivyokua naongea naye yule dada(mama) hakuna matumaini kabisa
 
Sasa walioharibu utaratibu ni udsm kwel Bila kupepesa macho nao wana kiwango cha idad ya watu na Bado udsm ina dahili sa je ikatokea mwenye uhtahtaji watampa nn.. Kumbe bas Majina yangetoka mapema hakika sintofaham isingekuepo
Nao hao watumish wana wakat mgumu.. Udsm Ndio chanzo we c utaona wanafnz weng watakao pata mkopo itakuwa ni udsm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom