SABODO sasa ashauri fedha zibadilishwe, ampongeza Rais asema hakuna haja ya upinzani

MUSTAFA JAFAR. ...SABODO....haki ni ya MAULANA MOLA WANGU RHABUKA
 
akibadili kwenye dola si anauza shilingi ananunua dola nadhani itakuwa imerudi kwenye mzrunguko akili yangu inawaza hivyo... sababu wanao ficha hawataki kuonekana wanapesa,.. ila ngoja wachumi waje
***
dhana ni fedha iachiwe izunguke /
kazi IPO... / mbaya ni kukalia dollar au tshs,kitendo ambacho ...
 
Elewa kwamba ukishabadili kuwa dola, hiyo pesa ya kibongo itakuwa kwenye mzunguko tayari.
Halafu dollar tunapeleka nje unaachwa na madafu yako hapa.
Hapa mnazalisha nini ili muuze nje mpate foreign currency?
Au mtachukua hayo madafu mkanunue foreign currency?
 
Huyu mzee naye anazeeka vibaya.Ni kweli kwamba Rais kwa kiasi fulani anafanya vizuri,ingawa his style of leadership has much to be desired.Mzee Sabodo akumbuke kwamba a healthy opposition ni muhimu ili serikali isijisahau.Kukosolewa is a good thing.Mimi huwa napenda sana kukosolewa,ili niweze kuona makosa yangu ili hatimaye niweze kujirekebisha.

Swala la riba kurejeswa kwa wateja ni muhimu sana.Riba hii iliondolewa na mabank kinyemela, na frankly kwa wateja wa accounts kama savings,bank imekuwa kama kibubu tu.KWA MTU ASIYEHITAJI KUKOPA HAKUNA MOTIVATION KABISA YA KUWEKA HELA BANK!Kale ka-interest ka 25% kalikuwa kana motivate sana.
5e347fc6d95c91d622171887cfb5be19.jpg
Wakati wananchi wakilia ukata mifukoni kwa madai fedha zimetoweka kwenye mzunguko, mfanyabiashara maarufu nchini, Jaffar Sabodo (73), amemshauri Rais John Magufuli abadilishe fedha ili kubana wafanyabiashara wakwepa kodi na kuficha fedha majumbani

Aidha, amesema kutokana na utendaji wa Rais, huoni sababu za vyama vya upinzani kuendelea kumpinga, na badala yake waache siasa na waungane naye kujenga Tanzania mpya

Kauli ya mfanyabiashara huyo iliungwa mkono na wachumi waliozungumza na gazeti hili kubainisha kuwa njia nzuri zaidi ni Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kupunguza masharti kwa benki, hasa viwango vya riba, ili riba kwenye benki iwe kubwa jambo ambalo litafanya watu wakiweka fedha benki wapate faida

Sabodo alitoa ushauri huo jana alipozungumza na JAMBO LEO katika mahojiano maalum nyumbani kwake Dar es salaam, ambapo alisema licha ya hatua nzuri za Serikali ya Rais Magufuli kiuchumi na kwenye mapambano dhidi ya rushwa, ubadhirifu na ufisadi, wapo walioficha mabilioni ya fedha nyumbani badala ya benki ili kukwepa kodi

"Rais anafanya kazi nzuri, lakini ni wengi waliofikwa fedha nyumbani, watanzania wanakufa njaa, wengine wameficha fedha

Hapo nashauri Rais abadilishe fedha hasa noti za Sh 5,000 na 10,000 hatua hiyo itasaidia kubadili ubadhirifu unaofanywa na watu wenye nia mbaya, lakini pia inaweza kuokoa uchumi na kufikia ndoto ya kuwa na Tanzania mpya," alisema Sabodo

Aliongeza:"Kwa maoni yangu, hatua hiyo ya kubadilisha fedha ichukue kati ya mwezi mmoja na nusu, watabainika wengi waliofikwa fedha nyumbani na hali ya uchumi itabadilika".

Alifanunua, Sabodo ambaye ni mzaliwa wa Lindi, alisema India Pakistan na Venezuela ziliwahi kukumbwa na hali kama ilivyo sasa nchini, lakini hatua ya kubadilisha noti ilizisaidia kuimarisha uchumi na bajeti zao

"Watu wanaiba fedha nyingi, wanaficha chini ya magodoro, ili kumaliza hali hiyo ni muhimu noti zikabadilishwa hali itakayomlazimisha kila aliyeficha fedha kuzitoa, hapo wapo watakaokimbia nchi". alisema Sabodo huku akitaja baadhi ya watakaokimbia hatua hiyo ikichukuliwa

Sabodo alitoa kauli hiyo wakati Rais Magufuli ameshatoa kauli kuwataka waliofikwa fedha majumbani kuziacha ziingie kwenye mzunguko huku akionya wasipofanya hivyo anaweza kuamua kuzibadili ili wakose mahala pa kuzipeleka

Rais Magufuli alitoa kauli hiyo Septemba kwenye mkutano wa 14 wa mwaka wa wahandisi ambapo alisema watu hao wamekuwa na utaratibu wa kutoa fedha zao benki na kuzificha kwa kuogapa kuwa atabaini kiasi walichonacho.

Chanzo : JamboLeo
 
Hao wahindi wote washapeleka hela zao Canada na UK.
Sasa nyie badilisheni mtapata mnachokitafuta.

Siku hizi watu wanaangalia sheria, kanuni na msimamo wa nchi yako ukoje then WAKIVUTIWA watakuja nchini kwako kuwekeza na kufanya mengineyo.
Lkn hii ya kulazimishana ktk dunia hii ya leo ni ngumu.
Kuna watu wanakwenda hapo Kenya tu kuhifadhi hela zao tena kwenye mabenki kwa sababu pale pako salama but not Tz.
Sasa unataka kutuambia kwamba tz sip salama?
 
Itasaidia mana siyo wote wana akili ya kubadilisha katika dollars hivi kweli mkinga wa makambako anaweza waza abadili fedha katika dolla?
***
je mkinga ataacha kununua ghorofa awe na akili ya kuficha pesa?
->zoezi kama hili hufanywa na wanadamu wenye akili ndefu kweli kweli, wanaotazama mbali mno.
 
Huyu alitoa zile Pesa za kujenga Ofisi/Chuo alizoahidi Chadema?
Anataka Kuona Kwanza Fedha Alizokuwa Anawapa Mmemwonesha Mmezifanyia Nini ?

- Alitoa Pesa Za Kuchimba Visima Kwenye Majimbo Ya Upinzani, Vipi Mlichimba Au Pesa Ziliishia Kwenye Maandamano.
 
5e347fc6d95c91d622171887cfb5be19.jpg

Wakati wananchi wakilia ukata mifukoni kwa madai fedha zimetoweka kwenye mzunguko, mfanyabiashara maarufu nchini, Jaffar Sabodo (73), amemshauri Rais John Magufuli abadilishe fedha ili kubana wafanyabiashara wakwepa kodi na kuficha fedha majumbani

Aidha, amesema kutokana na utendaji wa Rais, huoni sababu za vyama vya upinzani kuendelea kumpinga, na badala yake waache siasa na waungane naye kujenga Tanzania mpya

Kauli ya mfanyabiashara huyo iliungwa mkono na wachumi waliozungumza na gazeti hili kubainisha kuwa njia nzuri zaidi ni Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kupunguza masharti kwa benki, hasa viwango vya riba, ili riba kwenye benki iwe kubwa jambo ambalo litafanya watu wakiweka fedha benki wapate faida

Sabodo alitoa ushauri huo jana alipozungumza na JAMBO LEO katika mahojiano maalum nyumbani kwake Dar es salaam, ambapo alisema licha ya hatua nzuri za Serikali ya Rais Magufuli kiuchumi na kwenye mapambano dhidi ya rushwa, ubadhirifu na ufisadi, wapo walioficha mabilioni ya fedha nyumbani badala ya benki ili kukwepa kodi

"Rais anafanya kazi nzuri, lakini ni wengi waliofikwa fedha nyumbani, watanzania wanakufa njaa, wengine wameficha fedha

Hapo nashauri Rais abadilishe fedha hasa noti za Sh 5,000 na 10,000 hatua hiyo itasaidia kubadili ubadhirifu unaofanywa na watu wenye nia mbaya, lakini pia inaweza kuokoa uchumi na kufikia ndoto ya kuwa na Tanzania mpya," alisema Sabodo

Aliongeza:"Kwa maoni yangu, hatua hiyo ya kubadilisha fedha ichukue kati ya mwezi mmoja na nusu, watabainika wengi waliofikwa fedha nyumbani na hali ya uchumi itabadilika".

Alifanunua, Sabodo ambaye ni mzaliwa wa Lindi, alisema India Pakistan na Venezuela ziliwahi kukumbwa na hali kama ilivyo sasa nchini, lakini hatua ya kubadilisha noti ilizisaidia kuimarisha uchumi na bajeti zao

"Watu wanaiba fedha nyingi, wanaficha chini ya magodoro, ili kumaliza hali hiyo ni muhimu noti zikabadilishwa hali itakayomlazimisha kila aliyeficha fedha kuzitoa, hapo wapo watakaokimbia nchi". alisema Sabodo huku akitaja baadhi ya watakaokimbia hatua hiyo ikichukuliwa

Sabodo alitoa kauli hiyo wakati Rais Magufuli ameshatoa kauli kuwataka waliofikwa fedha majumbani kuziacha ziingie kwenye mzunguko huku akionya wasipofanya hivyo anaweza kuamua kuzibadili ili wakose mahala pa kuzipeleka

Rais Magufuli alitoa kauli hiyo Septemba kwenye mkutano wa 14 wa mwaka wa wahandisi ambapo alisema watu hao wamekuwa na utaratibu wa kutoa fedha zao benki na kuzificha kwa kuogapa kuwa atabaini kiasi walichonacho.

Chanzo: JamboLeo
watu wameficha fedha kwa dola, ninyi mnataka abadilishe fedha, atabadilisha dola, euro au pound starling? unafikiri mafisadi wajinga. wamebadili pesa kwenda kwenye dola iwe rahisi kuzimuvuzisha, wewe ukibadilisha pesa za kibongo watu watakucheka na kuona umekurupuka.
 
Sijasoma uzi ila comments baadhi tu za watu,,, naonga mkono fedha ni heri zikabadilishwa maana hata noti haina mwaka wa kuzalishwa ni shilingi ya Tanzania tu haina mwaka?
 
Biashara anazofanya uyu mzee zinamchanganya naona kaanza kuingilia maswala ya BOT
 
Kazi kweli kwel,ninakibunda changu nikienda crdb kikibadili kuwa dola,hela haitaingia kwenye mzunguko kwan hakuna watu wanaoenda kukopa benki cku hiz.
 
5e347fc6d95c91d622171887cfb5be19.jpg

Wakati wananchi wakilia ukata mifukoni kwa madai fedha zimetoweka kwenye mzunguko, mfanyabiashara maarufu nchini, Jaffar Sabodo (73), amemshauri Rais John Magufuli abadilishe fedha ili kubana wafanyabiashara wakwepa kodi na kuficha fedha majumbani

Aidha, amesema kutokana na utendaji wa Rais, huoni sababu za vyama vya upinzani kuendelea kumpinga, na badala yake waache siasa na waungane naye kujenga Tanzania mpya

Kauli ya mfanyabiashara huyo iliungwa mkono na wachumi waliozungumza na gazeti hili kubainisha kuwa njia nzuri zaidi ni Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kupunguza masharti kwa benki, hasa viwango vya riba, ili riba kwenye benki iwe kubwa jambo ambalo litafanya watu wakiweka fedha benki wapate faida

Sabodo alitoa ushauri huo jana alipozungumza na JAMBO LEO katika mahojiano maalum nyumbani kwake Dar es salaam, ambapo alisema licha ya hatua nzuri za Serikali ya Rais Magufuli kiuchumi na kwenye mapambano dhidi ya rushwa, ubadhirifu na ufisadi, wapo walioficha mabilioni ya fedha nyumbani badala ya benki ili kukwepa kodi

"Rais anafanya kazi nzuri, lakini ni wengi waliofikwa fedha nyumbani, watanzania wanakufa njaa, wengine wameficha fedha

Hapo nashauri Rais abadilishe fedha hasa noti za Sh 5,000 na 10,000 hatua hiyo itasaidia kubadili ubadhirifu unaofanywa na watu wenye nia mbaya, lakini pia inaweza kuokoa uchumi na kufikia ndoto ya kuwa na Tanzania mpya," alisema Sabodo

Aliongeza:"Kwa maoni yangu, hatua hiyo ya kubadilisha fedha ichukue kati ya mwezi mmoja na nusu, watabainika wengi waliofikwa fedha nyumbani na hali ya uchumi itabadilika".

Alifanunua, Sabodo ambaye ni mzaliwa wa Lindi, alisema India Pakistan na Venezuela ziliwahi kukumbwa na hali kama ilivyo sasa nchini, lakini hatua ya kubadilisha noti ilizisaidia kuimarisha uchumi na bajeti zao

"Watu wanaiba fedha nyingi, wanaficha chini ya magodoro, ili kumaliza hali hiyo ni muhimu noti zikabadilishwa hali itakayomlazimisha kila aliyeficha fedha kuzitoa, hapo wapo watakaokimbia nchi". alisema Sabodo huku akitaja baadhi ya watakaokimbia hatua hiyo ikichukuliwa

Sabodo alitoa kauli hiyo wakati Rais Magufuli ameshatoa kauli kuwataka waliofikwa fedha majumbani kuziacha ziingie kwenye mzunguko huku akionya wasipofanya hivyo anaweza kuamua kuzibadili ili wakose mahala pa kuzipeleka

Rais Magufuli alitoa kauli hiyo Septemba kwenye mkutano wa 14 wa mwaka wa wahandisi ambapo alisema watu hao wamekuwa na utaratibu wa kutoa fedha zao benki na kuzificha kwa kuogapa kuwa atabaini kiasi walichonacho.

Chanzo: JamboLeo
Huu ndio ukweli lakini nyumbu zitakuja kupinga
 
Asamehewe. Ni uzee huo unakuja vibaya. Nikibeba miluoni moja yangu kwenda benki kuibadilisha kisha kuibeba tena kurudi nayo hom ikiwa na katuni za "makusudi kipanya" nyingi itakuwa nimeongeza vipi mzunguko.
 
Jeuri hiyo hana na akijaribu ndio atajua hasira hasara,huyo sabodo ukumbi zke za sinema hazina wateja maisha yamebana muda wa kuangalia sinema anautoa wapi
 
Back
Top Bottom