Unaposema hakuna haja ya upinzani kwa upande wa pili wa sarafu moja hiyo hiyo ni kwamba vyama vyote vifutwe. Maadamu CCM pia ni chama kama vilivyo vyama vingine, afute vyama vyote abaki yeye na watendaji wake binafsi wasiojinasibu kwa chama chochote.
Wakati wananchi wakilia ukata mifukoni kwa madai fedha zimetoweka kwenye mzunguko, mfanyabiashara maarufu nchini, Jaffar Sabodo (73), amemshauri Rais John Magufuli abadilishe fedha ili kubana wafanyabiashara wakwepa kodi na kuficha fedha majumbani
Aidha, amesema kutokana na utendaji wa Rais, huoni sababu za vyama vya upinzani kuendelea kumpinga, na badala yake waache siasa na waungane naye kujenga Tanzania mpya
Kauli ya mfanyabiashara huyo iliungwa mkono na wachumi waliozungumza na gazeti hili kubainisha kuwa njia nzuri zaidi ni Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kupunguza masharti kwa benki, hasa viwango vya riba, ili riba kwenye benki iwe kubwa jambo ambalo litafanya watu wakiweka fedha benki wapate faida
Sabodo alitoa ushauri huo jana alipozungumza na JAMBO LEO katika mahojiano maalum nyumbani kwake Dar es salaam, ambapo alisema licha ya hatua nzuri za Serikali ya Rais Magufuli kiuchumi na kwenye mapambano dhidi ya rushwa, ubadhirifu na ufisadi, wapo walioficha mabilioni ya fedha nyumbani badala ya benki ili kukwepa kodi
"Rais anafanya kazi nzuri, lakini ni wengi waliofikwa fedha nyumbani, watanzania wanakufa njaa, wengine wameficha fedha
Hapo nashauri Rais abadilishe fedha hasa noti za Sh 5,000 na 10,000 hatua hiyo itasaidia kubadili ubadhirifu unaofanywa na watu wenye nia mbaya, lakini pia inaweza kuokoa uchumi na kufikia ndoto ya kuwa na Tanzania mpya," alisema Sabodo
Aliongeza:"Kwa maoni yangu, hatua hiyo ya kubadilisha fedha ichukue kati ya mwezi mmoja na nusu, watabainika wengi waliofikwa fedha nyumbani na hali ya uchumi itabadilika".
Alifanunua, Sabodo ambaye ni mzaliwa wa Lindi, alisema India Pakistan na Venezuela ziliwahi kukumbwa na hali kama ilivyo sasa nchini, lakini hatua ya kubadilisha noti ilizisaidia kuimarisha uchumi na bajeti zao
"Watu wanaiba fedha nyingi, wanaficha chini ya magodoro, ili kumaliza hali hiyo ni muhimu noti zikabadilishwa hali itakayomlazimisha kila aliyeficha fedha kuzitoa, hapo wapo watakaokimbia nchi". alisema Sabodo huku akitaja baadhi ya watakaokimbia hatua hiyo ikichukuliwa
Sabodo alitoa kauli hiyo wakati Rais Magufuli ameshatoa kauli kuwataka waliofikwa fedha majumbani kuziacha ziingie kwenye mzunguko huku akionya wasipofanya hivyo anaweza kuamua kuzibadili ili wakose mahala pa kuzipeleka
Rais Magufuli alitoa kauli hiyo Septemba kwenye mkutano wa 14 wa mwaka wa wahandisi ambapo alisema watu hao wamekuwa na utaratibu wa kutoa fedha zao benki na kuzificha kwa kuogapa kuwa atabaini kiasi walichonacho.
Chanzo: JamboLeo
Biashara anazofanya uyu mzee zinamchanganya naona kaanza kuingilia maswala ya BOT
Kama ndoto***
dhana ni fedha iachiwe izunguke /
kazi IPO... / mbaya ni kukalia dollar au tshs,kitendo ambacho ...
Hili ponjolo lilrudi India si limeshachuma. Hayo ni opportunistic tu. Yana passport kama kumi including Tanzania, India Canada UK.
Wakati wananchi wakilia ukata mifukoni kwa madai fedha zimetoweka kwenye mzunguko, mfanyabiashara maarufu nchini, Jaffar Sabodo (73), amemshauri Rais John Magufuli abadilishe fedha ili kubana wafanyabiashara wakwepa kodi na kuficha fedha majumbani
Aidha, amesema kutokana na utendaji wa Rais, huoni sababu za vyama vya upinzani kuendelea kumpinga, na badala yake waache siasa na waungane naye kujenga Tanzania mpya
Kauli ya mfanyabiashara huyo iliungwa mkono na wachumi waliozungumza na gazeti hili kubainisha kuwa njia nzuri zaidi ni Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kupunguza masharti kwa benki, hasa viwango vya riba, ili riba kwenye benki iwe kubwa jambo ambalo litafanya watu wakiweka fedha benki wapate faida
Sabodo alitoa ushauri huo jana alipozungumza na JAMBO LEO katika mahojiano maalum nyumbani kwake Dar es salaam, ambapo alisema licha ya hatua nzuri za Serikali ya Rais Magufuli kiuchumi na kwenye mapambano dhidi ya rushwa, ubadhirifu na ufisadi, wapo walioficha mabilioni ya fedha nyumbani badala ya benki ili kukwepa kodi
"Rais anafanya kazi nzuri, lakini ni wengi waliofikwa fedha nyumbani, watanzania wanakufa njaa, wengine wameficha fedha
Hapo nashauri Rais abadilishe fedha hasa noti za Sh 5,000 na 10,000 hatua hiyo itasaidia kubadili ubadhirifu unaofanywa na watu wenye nia mbaya, lakini pia inaweza kuokoa uchumi na kufikia ndoto ya kuwa na Tanzania mpya," alisema Sabodo
Aliongeza:"Kwa maoni yangu, hatua hiyo ya kubadilisha fedha ichukue kati ya mwezi mmoja na nusu, watabainika wengi waliofikwa fedha nyumbani na hali ya uchumi itabadilika".
Alifanunua, Sabodo ambaye ni mzaliwa wa Lindi, alisema India Pakistan na Venezuela ziliwahi kukumbwa na hali kama ilivyo sasa nchini, lakini hatua ya kubadilisha noti ilizisaidia kuimarisha uchumi na bajeti zao
"Watu wanaiba fedha nyingi, wanaficha chini ya magodoro, ili kumaliza hali hiyo ni muhimu noti zikabadilishwa hali itakayomlazimisha kila aliyeficha fedha kuzitoa, hapo wapo watakaokimbia nchi". alisema Sabodo huku akitaja baadhi ya watakaokimbia hatua hiyo ikichukuliwa
Sabodo alitoa kauli hiyo wakati Rais Magufuli ameshatoa kauli kuwataka waliofikwa fedha majumbani kuziacha ziingie kwenye mzunguko huku akionya wasipofanya hivyo anaweza kuamua kuzibadili ili wakose mahala pa kuzipeleka
Rais Magufuli alitoa kauli hiyo Septemba kwenye mkutano wa 14 wa mwaka wa wahandisi ambapo alisema watu hao wamekuwa na utaratibu wa kutoa fedha zao benki na kuzificha kwa kuogapa kuwa atabaini kiasi walichonacho.
Chanzo: JamboLeo
Kama ni fedha haramu jeuri ya kwenda badilisha hutakuwa nayo maana state ikishatangaza ivyo itafanya monitoring mwenye mzigo mkubwa nani na kautoa wapi?Sasa hao walio ficha wakibadili Fedha zao kwenda Dollar, Utawakamatia wap Basi kuna haja ya Kubadilisha na dollar pia.. Ila kama Dollar ni hela Ya Tanzania hahaha Akili za kuamka.
Kweli kabisa ila kwa wachumi hii ya mzee sabodo imekaaje?afadhali watu wawasaidie waziri wa fedha na gavana wa benki kuu maana wamekaa kama hawajui nini wanatakiwa wafanye ili pesa irudi kwenye mzunguko
Nakwambia hivi huko ni kumcheza shere president watu Wameshamaliza zamani kubadili pesa zao ndio kisa wametuma msemaji wao apime ikiwa Jamaa bado ana mawazo hayo au lah! hao watu they are very clever sio wa mchezo mchezo fuatilia history zao utaona sio wa vipindi vya miaka mitano mitano kabla uhuru mpaka kesho wapo tu wanacheza na saikolojia ya watu! Wala mkuu hasipokee kila ushauri kama dodoki ahoji kwa nini leo na siyo jana•je ni kweli fedha nyingi zimefichwa?.......
•je walioficha fedha ni wapuuzi kiasi cha kutokuzibadili kuwa Dollars?,Riale na pounds sterlings?
[HASHTAG]#AKILI[/HASHTAG] ZINGINE BANA....
Iliofichwa ni elfu5 na elfu10, hata kama ukibadilisha kuwa dollar bado itarudi tu kwenye mzunguko, Rais kaficha fedha na wafanyabiashara wakubwa wameficha ela kwaiyo ngoma droo, tunaumia Wa hali ya kawaida ambao ndio tupo wengi.....Sasa kama iko kwenye mzunguko iliyofichwa ni ipi?
Kweli aaaiseNa walioficha fedha pale BOT nao washughulikiwe ili kudhibiti uhaba wa pesa kwenye mabank ya biashara