Mbunge Ngwasi ajigeuza chawa, hajui majukumu yake, viti maalum sasa vifutwe

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Feb 20, 2016
14,047
20,411

1. Je, Mhe Wakili Msomi, Ng'wasi Damas Kamani, anadhani kuchapisha Noti mpyani sawa na kwenda kutoa kopi "Stationary"?

2. Je, Mhe Kamani anajua Mkwanja mrefu sana unatumika kuchapisha noti mpya?

3. Je, kwakuwa WAHENGA walinena kuwa "Kupanga ni Kuchagua"; kipi cha muhimu kati ya Noti mpya zenye picha ya Rais Samia kama kumbukumbu ya Rais wa kwanza mwanamke au fedha hizo kutumika kutatua matatizo rundo yanayowakabili wananchi wengi walio kwenye rindi kubwa la ufukara?

4. Je, Mhe Kamani Ancona Rais JK & Dkt. JPM walikosea walipofuata nyayo za Rais Ben Mkapa ambaye aliita waandishi wa habari Novemba 23, 1995 na kueleza bayana kuwa haoni mantiki ya fedha nyingi kutumika kutengeneza noti mpya ili tu kuwekwa picha yake wakati nchi haina fedha na haikopesheki na hali za wananchi ni mbaya?

5. Je, na rai ya yule mbunge mwingine April 23, 2021 eti "Noti za Tanzania zibadilishwe na kuwekwa picha ya marehemu Rais Dkt. John Magufuli ili kuenzi makubwa aliyoyafanya kwa Taifa hili", haikufanyiwa kazi?

6. Je, huu si mwendelezo wa "Chawacracy" uliotamalaki kwenye "Medula oblangata" za viongozi wengi nchini?

7. Je, Mhe Kamani anajua kuwa nchi ya Marekani imekuwa na Marais 46 hadi sasa lakini noti zake zina picha George Washington tu ambaye alikuwa Rais wa kwanza wa nchi hiyo?

8. Je, umefika wakati sasa wa Sheria ya Benki Kuu 2006 ikarekebishwa ili kuingizwa kifungu kipya kama Kifungu cha 21 cha Sheria ya Benki Kuu ya Uganda, 2000 kilatazacho picha ya mtu yeyote aliye hai au alama yoyote ya kisiasa kwenye noti? Kifungu hicho kiliwekwa baada ya "Chawa" kuanza chokochoko kuwa Picha ya Rais Museveni iwekwe kwenye noti mpya za nchi hiyo.
 
Anatafuta uteuzi wa naibu waziri kwa nguvu zote. Angetafuta wachumi waampe darasa kwanza juu ya ili kisha akalopoke huko alipo.

Ningekuwa na mda ningempa takwimu kubadili kwa nomination moja tu, inaghalimu taifa shs ngp?

Mzabuni aliyeshinda kutuchapishia sarafu ( currency) yetu ni Ujerumani, zinapotengenezewa, nilitaman nimpe zaidi elimu. Lakin haina haja sabab huyo viti maalum hakumanisha bali unawinda uteuzi. Ataishia kuwa kama Pascle Mayala kampamba Magufuli miaka 5 akiwinda uyeuz akaishia kunawa tu
 

1. Je, Mhe Wakili Msomi, Ng'wasi Damas Kamani, anadhani kuchapisha Noti mpyani sawa na kwenda kutoa kopi "Stationary"?

2. Je, Mhe Kamani anajua Mkwanja mrefu sana unatumika kuchapisha noti mpya?

3. Je, kwakuwa WAHENGA walinena kuwa "Kupanga ni Kuchagua"; kipi cha muhimu kati ya Noti mpya zenye picha ya Rais Samia kama kumbukumbu ya Rais wa kwanza mwanamke au fedha hizo kutumika kutatua matatizo rundo yanayowakabili wananchi wengi walio kwenye rindi kubwa la ufukara?

4. Je, Mhe Kamani Ancona Rais JK & Dkt. JPM walikosea walipofuata nyayo za Rais Ben Mkapa ambaye aliita waandishi wa habari Novemba 23, 1995 na kueleza bayana kuwa haoni mantiki ya fedha nyingi kutumika kutengeneza noti mpya ili tu kuwekwa picha yake wakati nchi haina fedha na haikopesheki na hali za wananchi ni mbaya?

5. Je, na rai ya yule mbunge mwingine April 23, 2021 eti "Noti za Tanzania zibadilishwe na kuwekwa picha ya marehemu Rais Dkt. John Magufuli ili kuenzi makubwa aliyoyafanya kwa Taifa hili", haikufanyiwa kazi?

6. Je, huu si mwendelezo wa "Chawacracy" uliotamalaki kwenye "Medula oblangata" za viongozi wengi nchini?

7. Je, Mhe Kamani anajua kuwa nchi ya Marekani imekuwa na Marais 46 hadi sasa lakini noti zake zina picha George Washington tu ambaye alikuwa Rais wa kwanza wa nchi hiyo?

8. Je, umefika wakati sasa wa Sheria ya Benki Kuu 2006 ikarekebishwa ili kuingizwa kifungu kipya kama Kifungu cha 21 cha Sheria ya Benki Kuu ya Uganda, 2000 kilatazacho picha ya mtu yeyote aliye hai au alama yoyote ya kisiasa kwenye noti? Kifungu hicho kiliwekwa baada ya "Chawa" kuanza chokochoko kuwa Picha ya Rais Museveni iwekwe kwenye noti mpya za nchi hiyo.
Nasikia ana digrii ya sheria toka SAUT!!? GENTAMYCINE huwa anatudanganya kuhusu intelligence ya wasomi wa SAUT.
 

1. Je, Mhe Wakili Msomi, Ng'wasi Damas Kamani, anadhani kuchapisha Noti mpyani sawa na kwenda kutoa kopi "Stationary"?

2. Je, Mhe Kamani anajua Mkwanja mrefu sana unatumika kuchapisha noti mpya?

3. Je, kwakuwa WAHENGA walinena kuwa "Kupanga ni Kuchagua"; kipi cha muhimu kati ya Noti mpya zenye picha ya Rais Samia kama kumbukumbu ya Rais wa kwanza mwanamke au fedha hizo kutumika kutatua matatizo rundo yanayowakabili wananchi wengi walio kwenye rindi kubwa la ufukara?

4. Je, Mhe Kamani Ancona Rais JK & Dkt. JPM walikosea walipofuata nyayo za Rais Ben Mkapa ambaye aliita waandishi wa habari Novemba 23, 1995 na kueleza bayana kuwa haoni mantiki ya fedha nyingi kutumika kutengeneza noti mpya ili tu kuwekwa picha yake wakati nchi haina fedha na haikopesheki na hali za wananchi ni mbaya?

5. Je, na rai ya yule mbunge mwingine April 23, 2021 eti "Noti za Tanzania zibadilishwe na kuwekwa picha ya marehemu Rais Dkt. John Magufuli ili kuenzi makubwa aliyoyafanya kwa Taifa hili", haikufanyiwa kazi?

6. Je, huu si mwendelezo wa "Chawacracy" uliotamalaki kwenye "Medula oblangata" za viongozi wengi nchini?

7. Je, Mhe Kamani anajua kuwa nchi ya Marekani imekuwa na Marais 46 hadi sasa lakini noti zake zina picha George Washington tu ambaye alikuwa Rais wa kwanza wa nchi hiyo?

8. Je, umefika wakati sasa wa Sheria ya Benki Kuu 2006 ikarekebishwa ili kuingizwa kifungu kipya kama Kifungu cha 21 cha Sheria ya Benki Kuu ya Uganda, 2000 kilatazacho picha ya mtu yeyote aliye hai au alama yoyote ya kisiasa kwenye noti? Kifungu hicho kiliwekwa baada ya "Chawa" kuanza chokochoko kuwa Picha ya Rais Museveni iwekwe kwenye noti mpya za nchi hiyo.
Tatizo ni mtu anatumia matako kugikiri na akili zake lazima zitawaliwe na matako
 

1. Je, Mhe Wakili Msomi, Ng'wasi Damas Kamani, anadhani kuchapisha Noti mpyani sawa na kwenda kutoa kopi "Stationary"?

2. Je, Mhe Kamani anajua Mkwanja mrefu sana unatumika kuchapisha noti mpya?

3. Je, kwakuwa WAHENGA walinena kuwa "Kupanga ni Kuchagua"; kipi cha muhimu kati ya Noti mpya zenye picha ya Rais Samia kama kumbukumbu ya Rais wa kwanza mwanamke au fedha hizo kutumika kutatua matatizo rundo yanayowakabili wananchi wengi walio kwenye rindi kubwa la ufukara?

4. Je, Mhe Kamani Ancona Rais JK & Dkt. JPM walikosea walipofuata nyayo za Rais Ben Mkapa ambaye aliita waandishi wa habari Novemba 23, 1995 na kueleza bayana kuwa haoni mantiki ya fedha nyingi kutumika kutengeneza noti mpya ili tu kuwekwa picha yake wakati nchi haina fedha na haikopesheki na hali za wananchi ni mbaya?

5. Je, na rai ya yule mbunge mwingine April 23, 2021 eti "Noti za Tanzania zibadilishwe na kuwekwa picha ya marehemu Rais Dkt. John Magufuli ili kuenzi makubwa aliyoyafanya kwa Taifa hili", haikufanyiwa kazi?

6. Je, huu si mwendelezo wa "Chawacracy" uliotamalaki kwenye "Medula oblangata" za viongozi wengi nchini?

7. Je, Mhe Kamani anajua kuwa nchi ya Marekani imekuwa na Marais 46 hadi sasa lakini noti zake zina picha George Washington tu ambaye alikuwa Rais wa kwanza wa nchi hiyo?

8. Je, umefika wakati sasa wa Sheria ya Benki Kuu 2006 ikarekebishwa ili kuingizwa kifungu kipya kama Kifungu cha 21 cha Sheria ya Benki Kuu ya Uganda, 2000 kilatazacho picha ya mtu yeyote aliye hai au alama yoyote ya kisiasa kwenye noti? Kifungu hicho kiliwekwa baada ya "Chawa" kuanza chokochoko kuwa Picha ya Rais Museveni iwekwe kwenye noti mpya za nchi hiyo.
Huyo ni CHAWA wa Kinyantuzu!! Mabinti wa Kinyantuzu ukiwataka UNAKOKOTA tu kama Mlevi!! Wanapenda sana vyeo na UCHAWA
 
Back
Top Bottom