Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
kumbe unasikilizaga hizo makitu sio?!!kuna video flani hawa jamaa wanaojiita swahili remix nadhani ni kina vinega kikundi cha SUGU... "ndani ya album ya antivirus" kuna mstari sugu analaumu kila kitu bagachori.. tu! tunataka ngozi nyeusi ndiyo imiliki soko la uuzaji wa kazi za wasanii & blah blah kibaoo... kumbe maskini hajui wahindi hawahawa ndio wanakipiga tafu chama kilichompa ajira ...
okey...didnt knoe that!oa