Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,264
sasa kudeal na upinzani ndiyo kulazimisha wafanyabiashara wampe pesa???
Uharo mtupu.Niwashauri tu yule dogo yupo operation maalum ya kudeal na Upinzani hapo alipo na aliposema yeye anaripoti juu yuko sahihi kwa hiyo hamtaweza kudeal nae na atawavuruga kisawa sawa !!!!!! So dogo inavoonekana amefaulu kwa kiasi kikubwa hadi sasa hivi.
Vp kuhusu kuamshwa yule msanii[emoji23][emoji23][emoji23]sasa kudeal na upinzani ndiyo kulazimisha wafanyabiashara wampe pesa???
Operesheni ambayo inahusisha rushwa😂 au kaongezea hayaNiwashauri tu yule dogo yupo operation maalum ya kudeal na Upinzani hapo alipo na aliposema yeye anaripoti juu yuko sahihi kwa hiyo hamtaweza kudeal nae na atawavuruga kisawa sawa !!!!!! So dogo inavoonekana amefaulu kwa kiasi kikubwa hadi sasa hivi.
Ni kama Makonda tuu, akiharibu mkipiga kelele sana anawaambia nitawasemea kwa DaddyUnaongea nini wewe?, Sabaya anaomba Rushwa kwa nguvu tens kwa kulitaja jina la Rais, hakuna Operation hapo umepotea njia. Huyo dogo tunamjua sana kwa utspeli,anajifichia kwenye koti la kukusanya kodi. Hivi shida ni Mbowe,Sababya au vitendo haramu vya rushwa?
Tapeli sugu huyu kazi ni kuzunguka na matapeli wenzake wenye kesi lukuki police kma omary matelephoni na japhetNiwashauri tu yule dogo yupo operation maalum ya kudeal na Upinzani hapo alipo na aliposema yeye anaripoti juu yuko sahihi kwa hiyo hamtaweza kudeal nae na atawavuruga kisawa sawa !!!!!! So dogo inavoonekana amefaulu kwa kiasi kikubwa hadi sasa hivi.