mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,042
- 2,143
Niwashauri tu yule dogo yupo operation maalum ya kudeal na Upinzani hapo alipo na aliposema yeye anaripoti juu yuko sahihi kwa hiyo hamtaweza kudeal nae na atawavuruga kisawa sawa !!!!!! So dogo inavoonekana amefaulu kwa kiasi kikubwa hadi sasa hivi.