Sabaya yuko kwenye operation maalum hamtamuweza

Sabaya yuko kwenye operation maalum hamtamuweza

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
1,042
Reaction score
2,143
Niwashauri tu yule dogo yupo operation maalum ya kudeal na Upinzani hapo alipo na aliposema yeye anaripoti juu yuko sahihi kwa hiyo hamtaweza kudeal nae na atawavuruga kisawa sawa !!!!!! So dogo inavoonekana amefaulu kwa kiasi kikubwa hadi sasa hivi.
 
So what? Haha unamtisha nani kwa mfano.
Niwashauri tu yule dogo yupo operation maalum ya kudeal na Upinzani hapo alipo na aliposema yeye anaripoti juu yuko sahihi kwa hiyo hamtaweza kudeal nae na atawavuruga kisawa sawa !!!!!! So dogo inavoonekana amefaulu kwa kiasi kikubwa hadi sasa hivi.
 
Niwashauri tu yule dogo yupo operation maalum ya kudeal na Upinzani hapo alipo na aliposema yeye anaripoti juu yuko sahihi kwa hiyo hamtaweza kudeal nae na atawavuruga kisawa sawa !!!!!! So dogo inavoonekana amefaulu kwa kiasi kikubwa hadi sasa hivi.
Kwenda kalazimisha papuchi ya Nandy ndo kudeal na wapinzani??

Siku hizi kiongozi wa chama cha majizi akienda kinyume na maadili ya uongozi inaitwa uchapa kazi! Nyambaf!

Umalaya tuu
 
Niwashauri tu yule dogo yupo operation maalum ya kudeal na Upinzani hapo alipo na aliposema yeye anaripoti juu yuko sahihi kwa hiyo hamtaweza kudeal nae na atawavuruga kisawa sawa !!!!!! So dogo inavoonekana amefaulu kwa kiasi kikubwa hadi sasa hivi.
Unaongea nini wewe?, Sabaya anaomba Rushwa kwa nguvu tens kwa kulitaja jina la Rais, hakuna Operation hapo umepotea njia. Huyo dogo tunamjua sana kwa utspeli,anajifichia kwenye koti la kukusanya kodi. Hivi shida ni Mbowe,Sababya au vitendo haramu vya rushwa?
 
Huyu jamaa siku moja usiku alihudumiwa supu ya utumbo na Mama mmoja pale nje ya Maisha Club, Dodoma na aligoma kulipa. Mimi niliona isiwe shida, nilimlipia shilingi 2,500. Alijifanya kalewa baada ya kula na alileta utata.

Kiukweli ni tapeli kama matapeli wengine.
 
Niwashauri tu yule dogo yupo operation maalum ya kudeal na Upinzani hapo alipo na aliposema yeye anaripoti juu yuko sahihi kwa hiyo hamtaweza kudeal nae na atawavuruga kisawa sawa !!!!!! So dogo inavoonekana amefaulu kwa kiasi kikubwa hadi sasa hivi.
usikute wewe ni sabaya
 
Niwashauri tu yule dogo yupo operation maalum ya kudeal na Upinzani hapo alipo na aliposema yeye anaripoti juu yuko sahihi kwa hiyo hamtaweza kudeal nae na atawavuruga kisawa sawa !!!!!! So dogo inavoonekana amefaulu kwa kiasi kikubwa hadi sasa hivi.


Sabaya katika ubora wako , umekuja kujitetea

Operation na upinzani anavamia hotels usiku wa manane? Operations na upinzani analazilimisha kufanya mapenzi na wanawake Wawili kwa wakati mmoja ( Three some) ukikataa ana Deal na wewe
 
Sabaya Sabaya kila siku humu ndani!
Amefanya kitu gani kikubwa hicho?
Au ndo promo aonekane nae yupo?
 
Niwashauri tu yule dogo yupo operation maalum ya kudeal na Upinzani hapo alipo na aliposema yeye anaripoti juu yuko sahihi kwa hiyo hamtaweza kudeal nae na atawavuruga kisawa sawa !!!!!! So dogo inavoonekana amefaulu kwa kiasi kikubwa hadi sasa hivi.
Haina shida tunamsubiri, baba yake akishatoka madarakani tutadeal naye perpendicularly.
 
Huyu jamaa siku moja usiku alihudumiwa supu ya utumbo na Mama mmoja pale nje ya Maisha Club, Dodoma na aligoma kulipa. Mimi niliona isiwe shida, nilimlipia shilingi 2,500. Alijifanya kalewa baada ya kula na alileta utata.

Kiukweli ni tapeli kama matapeli wengine.

Mkuu huyo Sabaya namfahamu vizuri sana. Huwa ana hiyo tabia ya kujifanya amelewa ili asilipe bill. Na amekua akitoa vitisho kwa kujifanya usalama wa taifa. Ni mzamiaji mzuri wa bia za offer.
 
Back
Top Bottom