Sabaya: Nimewasamehe wote walionikosea

Sabaya: Nimewasamehe wote walionikosea

"Kama kuna mtu nimemkosea mbele za Mungu anisamehe, na mimi mbele za Mungu anayeishi kama kuna mtu yeyote anadhani alinikosea, iwe shahidi, iwe kutengeneza kesi kunisingizia uongo, leo kwa kibali cha Mungu nimemsamehe. Nimenyanyua mikono, sitapigana, na mtu atakayeendeleza vita, naiacha vita hiyo apigane na Mungu." - Lengai Ole Sabaya

Fanya kama Zakayo, wale unaokumbuka wazi uliwakosea na kuwadhulumu kawaombe msamaha na kawalipe ulivyowadhulumu.

Utapata msamaha wa kweli toka kwa Mungu na utakuwa umejiwekea hazina yako mbinguni.

Haitoshi tu kukimbilia madhabahu na kulia mbele za watu ilhal walioumizwa kwa mkono ama kinywa chako bado wanaendeiea kugugumia na kumlilia Mungu.

Kabla ya kutoa sadaka yako kapatane kwanza na mgomvi wako.
 
Na wale alioua na wengine kuwatia vilema vya kudumu inakuwaje?
 
"Kama kuna mtu nimemkosea mbele za Mungu anisamehe, na mimi mbele za Mungu anayeishi kama kuna mtu yeyote anadhani alinikosea, iwe shahidi, iwe kutengeneza kesi kunisingizia uongo, leo kwa kibali cha Mungu nimemsamehe. Nimenyanyua mikono, sitapigana, na mtu atakayeendeleza vita, naiacha vita hiyo apigane na Mungu." - Lengai Ole Sabaya

Hutuhitaji msamaha wako.
Ila uli waumiza wengi. Hadi leo na hata utakapo ondoka hapa duniani tuna jua wewe ni mwizi jambazi, tuna jua wewe ni muuaji, tuna jua wewe uliumiza wengi hadi leo kuna vijana ni vilema, kuna familia umeifanya kuitwa yatima, wake za watu ulio zini nao kwa nguvu. Pombe na vyakula ulivyo kula na kuondoka bila kulipa, nenda kalipe, wadada wa watu walifukuzwa kazi wengine walikatwa mishahara yao kukulipia wewe deni.
Leo una simama mbele ya madhabahu kwa kiburi na dharau una sema umewasamehe walio kukosea? Wepi hao? Sio kila sadaka inayo pelekwa madhabahuni ni takatifu mbele ya Mungu Bro..
Acha kumdhihaki Mungu.
 
Sabaya milango yake imefungwa duniani na mbinguni.. uliowaua hawana nafasi ya kukusamehe
 
Hutuhitaji msamaha wako.
Ila uli waumiza wengi. Hadi leo na hata utakapo ondoka hapa duniani tuna jua wewe ni mwizi jambazi, tuna jua wewe ni muuaji, tuna jua wewe uliumiza wengi hadi leo kuna vijana ni vilema, kuna familia umeifanya kuitwa yatima, wake za watu ulio zini nao kwa nguvu. Pombe na vyakula ulivyo kula na kuondoka bila kulipa, nenda kalipe, wadada wa watu walifukuzwa kazi wengine walikatwa mishahara yao kukulipia wewe deni.
Leo una simama mbele ya madhabahu kwa kiburi na dharau una sema umewasamehe walio kukosea? Wepi hao? Sio kila sadaka inayo pelekwa madhabahuni ni takatifu mbele ya Mungu Bro..
Acha kumdhihaki Mungu.
Hakuna ambaye alikuwa na ubavu wa kumkosea Sabaya enzi za shujaa ndio maana Sabaya alilia sana
 
Hakuna ambaye alikuwa na ubavu wa kumkosea Sabaya enzi za shujaa ndio maana Sabaya alilia sana
Ila cha moto alikiona miaka 2 jela sio haba kajifunza bila shaka kuwa dhulma zinajibiwa na Mungu sio mzungu Alisahau kuamini ya kwamba yohani ataishi milele
 
"Kama kuna mtu nimemkosea mbele za Mungu anisamehe, na mimi mbele za Mungu anayeishi kama kuna mtu yeyote anadhani alinikosea, iwe shahidi, iwe kutengeneza kesi kunisingizia uongo, leo kwa kibali cha Mungu nimemsamehe. Nimenyanyua mikono, sitapigana, na mtu atakayeendeleza vita, naiacha vita hiyo apigane na Mungu." - Lengai Ole Sabaya

Ogopa sana watu wanapenda kumtaja taja Mungu huwa kama wamewehuka.
 
"Kama kuna mtu nimemkosea mbele za Mungu anisamehe, na mimi mbele za Mungu anayeishi kama kuna mtu yeyote anadhani alinikosea, iwe shahidi, iwe kutengeneza kesi kunisingizia uongo, leo kwa kibali cha Mungu nimemsamehe. Nimenyanyua mikono, sitapigana, na mtu atakayeendeleza vita, naiacha vita hiyo apigane na Mungu." - Lengai Ole Sabaya

Aombe msamaha kwanza kwa ukatili wake
 
Daah?! Hivi mtu anayeweza kumkosea mtu kama Ole Sabaya atakuwa mtu wa namna gani?! Kwa sababu ukatili na uhalifu aliotenda Ole Sabaya mwenyewe is beyond comparable, sasa huyo atakayemkosea si atakuwa zaidi ya shetani?
Sabaya amewakosea wengi sana, ila sidhan kama wapo waliomkosea yeye. Ameongea kwa ku balance tu speech yake.

Pengine hata kua kwake uraiani sio kwamba he is innocent, bali huruma tu za Chief Hangaya. Tuhuma nyingi zilizoelekezwa kwake zilikua na ushahidi wa wazi kabisa.
 
Sabaya unasema umewasamehe waliokukosea? Walikukosea nini wewe?
Vipi wale uliowatenda unyama wa kutisha? utaomba msamaha gani?
Uliowapora fedha zao? Je umerudisha fedha zao?
Uliowasababishia ulemavu wa viungo? Je utaotesha viungo vingine?
Uliotumia cheo chako kuwabaka? Yale majeraha ya ule ukatili utayaponyeshaje?
Uliowadhulumu mali zao? Umerudisha zile mali zao?
Acha kufanya mzaha na Mola ndugu, una adhabu kubwqa sana kwa Mola
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom