Sabaya: Nimewasamehe wote walionikosea

Sabaya: Nimewasamehe wote walionikosea

"Kama kuna mtu nimemkosea mbele za Mungu anisamehe, na mimi mbele za Mungu anayeishi kama kuna mtu yeyote anadhani alinikosea, iwe shahidi, iwe kutengeneza kesi kunisingizia uongo, leo kwa kibali cha Mungu nimemsamehe. Nimenyanyua mikono, sitapigana, na mtu atakayeendeleza vita, naiacha vita hiyo apigane na Mungu." - Lengai Ole Sabaya

Huyu jamaa kuna watu wanataka wamalize hasira zao wanasubiria wakati sahihi
 
Daah?! Hivi mtu anayeweza kumkosea mtu kama Ole Sabaya atakuwa mtu wa namna gani?! Kwa sababu ukatili na uhalifu aliotenda Ole Sabaya mwenyewe is beyond comparable, sasa huyo atakayemkosea si atakuwa zaidi ya shetani?
Nimewaza kama wewe nani alomkosea zaidi ya yeye kufanya madhira kwa watu
 
"Kama kuna mtu nimemkosea mbele za Mungu anisamehe, na mimi mbele za Mungu anayeishi kama kuna mtu yeyote anadhani alinikosea, iwe shahidi, iwe kutengeneza kesi kunisingizia uongo, leo kwa kibali cha Mungu nimemsamehe. Nimenyanyua mikono, sitapigana, na mtu atakayeendeleza vita, naiacha vita hiyo apigane na Mungu." - Lengai Ole Sabaya

Njaa mbaya Sana. Imemtoa Sabaya. Pangoni.
 
Unaweza kutueleza ni ukatili gani aliufanya. Au wewe ni kati ya maboya wanaolishwa propaganda? Kwanza uko mkoa gani?
Kamuulize Mwenyekiti wa CCM Hilo swali. Yeye ndiye aliyemsimamisha ukuu wa Wilaya.
 
Hii inaweza kuwa gia ya kwanza kuanza kuzisogelea teuzi, gia namba mbili uchawa unaenda kuanza rasmi, baada ya hapo....

" Taarifa iliyotolewa na ikulu, leo tarehe.... Rais wa JMT Mheshimiwa SSH, amemteua Ndugu Lengai O. Sabaya, kuwa... uteuzi huo utaanza mara baada ya kuapishwa".

Then after, tunaanza kutukana hapa JF wiki nzima, baada ya hapo wao wanadai kazi iendelee..

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Hii inaweza kuwa gia ya kwanza kuanza kuzisogelea teuzi, gia namba mbili uchawa unaenda kuanza rasmi, baada ya hapo....

" Taarifa iliyotolewa na ikulu, leo tarehe.... Rais wa JMT Mheshimiwa SSH, amemteua Ndugu Lengai O. Sabaya, kuwa... uteuzi huo utaanza mara baada ya kuapishwa".

Then after, tunaanza kutukana hapa JF wiki nzima, baada ya hapo wao wanadai kazi iendelee..

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Si ndio wapinzani wetu mlivyo.
 
"Kama kuna mtu nimemkosea mbele za Mungu anisamehe, na mimi mbele za Mungu anayeishi kama kuna mtu yeyote anadhani alinikosea, iwe shahidi, iwe kutengeneza kesi kunisingizia uongo, leo kwa kibali cha Mungu nimemsamehe. Nimenyanyua mikono, sitapigana, na mtu atakayeendeleza vita, naiacha vita hiyo apigane na Mungu." - Lengai Ole Sabaya

Waliouwa, kuwakata masikio na wengine kuwasababishia vilema vya kudumu atawarudishia. Kuna maisha nje ya siasa, leo Mbowe na Chadema ambao Sabaya hakutaka wafanye siasa bado wapo majukwaani.
 
"Kama kuna mtu nimemkosea mbele za Mungu anisamehe, na mimi mbele za Mungu anayeishi kama kuna mtu yeyote anadhani alinikosea, iwe shahidi, iwe kutengeneza kesi kunisingizia uongo, leo kwa kibali cha Mungu nimemsamehe. Nimenyanyua mikono, sitapigana, na mtu atakayeendeleza vita, naiacha vita hiyo apigane na Mungu." - Lengai Ole Sabaya

Kwamba unatesa watu, unabambikizia watu case unafungwa jela. Unahonga unatshinda case, unajificha kidogo, baadae unalinunua kanisa , unaenda mazabahuni kuomba msamaha kwa mungu = unateuliwa tena na kuwa kiongozi
Ama kweli ccm wapuuzi sana.
Ni mungu gani SABAYA UNAMUOMBA MSAMAHA?
Mungu ndo alokutuma upore pesa kwa mromboo? Je mromboo amekusamehe?
Mungu ndiye aliyekutuma upore pesa pale kwa yule diwani? Naye amekusamehe?
Mungu ndiye aliyekutuma uvamie hoteli kule HAI Ili ukalale na NANDI? Yule mwenye hoteli naye kakusamehe?
Mungu yupi SABAYA Unamuomba?
Mungu wq CCM?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom