Sababu zifuatazo zinadhihirisha watanzania sasa wanamwelewa Mh Magufuli

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,554
1. Elimu bure kuanzia awali hadi form four inatekelezwa kwa vitendo.

2. Mahakama ya mafisadi imeshakamilika

3. Ndege sita zimeshanunuliwa mbili zimeshawasili.

4. Tatizo la madawati sasa ni historia nchini

5. Mafisadi kama kina Sioi wakwe wa Lowasa wameshafikishwa kwa Pilato.

6. Maandamano ya kijinga jinga hakuna..

7. Watumishi hewa hakuna na ameokia mabilioni kibao hapa.

8 .Wanafunzi hewa hakuna

9. Nidhamu ya watumishi imeongezeka kwa asilimia 90

10. Cuf imedhibitiwa vizuri huko Zanzibar na wananchi wana amani sasa.

11. Mbowe kashaisoma namba pale NHC japokuwa mnajifariji kesi kashinda subirini muone mwisho wa mchezo.

12. Mzee kingunge kashakata pumzi na sasa anatembelea bajaji.

13. Lowassa katika historia ya maisha yake hakuwahi kukamatwa na Polisi lakini kabla Magufuli hajakamilisha mwaka kashamnasa na kukojolea ndoo.

14. Lisu kapotea hathubutu tena kutamka neno Dikteta Uchwara.

15. Upanuzi wa barabara ya airport Mwanza.

16. Barabara za juu zimeshaanza Dar

17. Mabasi ya mwendokasi yameshaanza kufanya kazi.

18. Daraja la Kigamboni kashalizindua

19. Mabehewa mapya ya tren yameshaingia.

20. Katusaidia kudhibiti nidhamu ya bunge kwa kumtuma mwanamke wa shoka Dr Tulia.

21. Karekebisha diplomasia yetu na Rwanda.

22. Kadhibiti wakwepa kodi pale bandarini.

23. Kashazindua ujenzi wa reli ya treni ya umeme.

24. Kagawa vitanda nchi nzima.

25. Umeme wa Rea unashika kasi huko vijijini.

26. Upanuzi wa Bandari ya mtwara.

27. Maelfu ya KM ya barabara za Lami zinajengwa kila mkoa nchini.

28. Kadhibiti nidhamu ya watumishi wa Umma.

29. Ujenzi wa viwanda 2500+ kila mahala hapa nchini.

30. Karudisha nidhamu ya wawekezaji sio kuifanya TZ shamba la bibi.
 
1. Elimu bure kuanzia awali hadi form four inatekelezwa kwa vitendo.

2. Mahakama ya mafisadi imeshakamilika

3. Ndege sita zimeshanunuliwa mbili zimeshawasili.

4. Tatizo la madawati sasa ni historia nchini

5. Mafisadi kama kina Sioi wakwe wa Lowasa wameshafikishwa kwa Pilato.

6. Maandamano ya kijinga jinga hakuna..

7. Watumishi hewa hakuna na ameokia mabilioni kibao hapa.

8 .Wanafunzi hewa hakuna

9. Nidhamu ya watumishi imeongezeka kwa asilimia 90

10. Cuf imedhibitiwa vizuri huko Zanzibar na wananchi wana amani sasa.

11. Mbowe kashaisoma namba pale NHC japokuwa mnajifariji kesi kashinda subirini muone mwisho wa mchezo.

12. Mzee kingunge kashakata pumzi na sasa anatembelea bajaji.

13. Lowassa katika historia ya maisha yake hakuwahi kukamatwa na Polisi lakini kabla Magufuli hajakamilisha mwaka kashamnasa na kukojolea ndoo.

14. Lisu kapotea hathubutu tena kutamka neno Dikteta Uchwara.

15. Upanuzi wa barabara ya airport Mwanza.

16. Barabara za juu zimeshaanza Dar

17. Mabasi ya mwendokasi yameshaanza kufanya kazi.

18. Daraja la Kigamboni kashalizindua

19. Mabehewa mapya ya tren yameshaingia.

20. Katusaidia kudhibiti nidhamu ya bunge kwa kumtuma mwanamke wa shoka Dr Tulia.

21. Karekebisha diplomasia yetu na Rwanda.

22. Kadhibiti wakwepa kodi pale bandarini.

23. Kashazindua ujenzi wa reli ya treni ya umeme.

24. Kagawa vitanda nchi nzima.

25. Umeme wa Rea unashika kasi huko vijijini.

26. Upanuzi wa Bandari ya mtwara.

27. Maelfu ya KM ya barabara za Lami zinajengwa kila mkoa nchini.

28. Kadhibiti nidhamu ya watumishi wa Umma.

29. Ujenzi wa viwanda 2500+ kila mahala hapa nchini.

30. Karudisha nidhamu ya wawekezaji sio kuifanya TZ shamba la bibi.
Wataelewa tu.Magufuli yuko kazini.
 
1. Elimu bure kuanzia awali hadi form four inatekelezwa kwa vitendo.

2. Mahakama ya mafisadi imeshakamilika

3. Ndege sita zimeshanunuliwa mbili zimeshawasili.

4. Tatizo la madawati sasa ni historia nchini

5. Mafisadi kama kina Sioi wakwe wa Lowasa wameshafikishwa kwa Pilato.

6. Maandamano ya kijinga jinga hakuna..

7. Watumishi hewa hakuna na ameokia mabilioni kibao hapa.

8 .Wanafunzi hewa hakuna

9. Nidhamu ya watumishi imeongezeka kwa asilimia 90

10. Cuf imedhibitiwa vizuri huko Zanzibar na wananchi wana amani sasa.

11. Mbowe kashaisoma namba pale NHC japokuwa mnajifariji kesi kashinda subirini muone mwisho wa mchezo.

12. Mzee kingunge kashakata pumzi na sasa anatembelea bajaji.

13. Lowassa katika historia ya maisha yake hakuwahi kukamatwa na Polisi lakini kabla Magufuli hajakamilisha mwaka kashamnasa na kukojolea ndoo.

14. Lisu kapotea hathubutu tena kutamka neno Dikteta Uchwara.

15. Upanuzi wa barabara ya airport Mwanza.

16. Barabara za juu zimeshaanza Dar

17. Mabasi ya mwendokasi yameshaanza kufanya kazi.

18. Daraja la Kigamboni kashalizindua

19. Mabehewa mapya ya tren yameshaingia.

20. Katusaidia kudhibiti nidhamu ya bunge kwa kumtuma mwanamke wa shoka Dr Tulia.

21. Karekebisha diplomasia yetu na Rwanda.

22. Kadhibiti wakwepa kodi pale bandarini.

23. Kashazindua ujenzi wa reli ya treni ya umeme.

24. Kagawa vitanda nchi nzima.

25. Umeme wa Rea unashika kasi huko vijijini.

26. Upanuzi wa Bandari ya mtwara.

27. Maelfu ya KM ya barabara za Lami zinajengwa kila mkoa nchini.

28. Kadhibiti nidhamu ya watumishi wa Umma.

29. Ujenzi wa viwanda 2500+ kila mahala hapa nchini.

30. Karudisha nidhamu ya wawekezaji sio kuifanya TZ shamba la bibi.
Magufuli safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.

Nitamchagua tena 2020.
 
1. Elimu bure kuanzia awali hadi form four inatekelezwa kwa vitendo.

2. Mahakama ya mafisadi imeshakamilika

3. Ndege sita zimeshanunuliwa mbili zimeshawasili.

4. Tatizo la madawati sasa ni historia nchini

5. Mafisadi kama kina Sioi wakwe wa Lowasa wameshafikishwa kwa Pilato.

6. Maandamano ya kijinga jinga hakuna..

7. Watumishi hewa hakuna na ameokia mabilioni kibao hapa.

8 .Wanafunzi hewa hakuna

9. Nidhamu ya watumishi imeongezeka kwa asilimia 90

10. Cuf imedhibitiwa vizuri huko Zanzibar na wananchi wana amani sasa.

11. Mbowe kashaisoma namba pale NHC japokuwa mnajifariji kesi kashinda subirini muone mwisho wa mchezo.

12. Mzee kingunge kashakata pumzi na sasa anatembelea bajaji.

13. Lowassa katika historia ya maisha yake hakuwahi kukamatwa na Polisi lakini kabla Magufuli hajakamilisha mwaka kashamnasa na kukojolea ndoo.

14. Lisu kapotea hathubutu tena kutamka neno Dikteta Uchwara.

15. Upanuzi wa barabara ya airport Mwanza.

16. Barabara za juu zimeshaanza Dar

17. Mabasi ya mwendokasi yameshaanza kufanya kazi.

18. Daraja la Kigamboni kashalizindua

19. Mabehewa mapya ya tren yameshaingia.

20. Katusaidia kudhibiti nidhamu ya bunge kwa kumtuma mwanamke wa shoka Dr Tulia.

21. Karekebisha diplomasia yetu na Rwanda.

22. Kadhibiti wakwepa kodi pale bandarini.

23. Kashazindua ujenzi wa reli ya treni ya umeme.

24. Kagawa vitanda nchi nzima.

25. Umeme wa Rea unashika kasi huko vijijini.

26. Upanuzi wa Bandari ya mtwara.

27. Maelfu ya KM ya barabara za Lami zinajengwa kila mkoa nchini.

28. Kadhibiti nidhamu ya watumishi wa Umma.

29. Ujenzi wa viwanda 2500+ kila mahala hapa nchini.

30. Karudisha nidhamu ya wawekezaji sio kuifanya TZ shamba la bibi.

ok.
 
1. Elimu bure kuanzia awali hadi form four inatekelezwa kwa vitendo.

2. Mahakama ya mafisadi imeshakamilika

3. Ndege sita zimeshanunuliwa mbili zimeshawasili.

4. Tatizo la madawati sasa ni historia nchini

5. Mafisadi kama kina Sioi wakwe wa Lowasa wameshafikishwa kwa Pilato.

6. Maandamano ya kijinga jinga hakuna..

7. Watumishi hewa hakuna na ameokia mabilioni kibao hapa.

8 .Wanafunzi hewa hakuna

9. Nidhamu ya watumishi imeongezeka kwa asilimia 90

10. Cuf imedhibitiwa vizuri huko Zanzibar na wananchi wana amani sasa.

11. Mbowe kashaisoma namba pale NHC japokuwa mnajifariji kesi kashinda subirini muone mwisho wa mchezo.

12. Mzee kingunge kashakata pumzi na sasa anatembelea bajaji.

13. Lowassa katika historia ya maisha yake hakuwahi kukamatwa na Polisi lakini kabla Magufuli hajakamilisha mwaka kashamnasa na kukojolea ndoo.

14. Lisu kapotea hathubutu tena kutamka neno Dikteta Uchwara.

15. Upanuzi wa barabara ya airport Mwanza.

16. Barabara za juu zimeshaanza Dar

17. Mabasi ya mwendokasi yameshaanza kufanya kazi.

18. Daraja la Kigamboni kashalizindua

19. Mabehewa mapya ya tren yameshaingia.

20. Katusaidia kudhibiti nidhamu ya bunge kwa kumtuma mwanamke wa shoka Dr Tulia.

21. Karekebisha diplomasia yetu na Rwanda.

22. Kadhibiti wakwepa kodi pale bandarini.

23. Kashazindua ujenzi wa reli ya treni ya umeme.

24. Kagawa vitanda nchi nzima.

25. Umeme wa Rea unashika kasi huko vijijini.

26. Upanuzi wa Bandari ya mtwara.

27. Maelfu ya KM ya barabara za Lami zinajengwa kila mkoa nchini.

28. Kadhibiti nidhamu ya watumishi wa Umma.

29. Ujenzi wa viwanda 2500+ kila mahala hapa nchini.

30. Karudisha nidhamu ya wawekezaji sio kuifanya TZ shamba la bibi.




















sawa umeeleweka mzee wa buku saba. umeshaingiza day..
 
1. Elimu bure kuanzia awali hadi form four inatekelezwa kwa vitendo.
Shule ina walimu watano na watoto 1500

2. Mahakama ya mafisadi imeshakamilika.
Kiini macho, kwani mahakama zilizopo zilishindwa nini.

3. Ndege sita zimeshanunuliwa mbili zimeshawasili.
Ndege? sawa!!!!! hata njiwa nae ndege.

4. Tatizo la madawati sasa ni historia nchini.
sawa kabisa wote wamekaa, hongeraaaaaaaaaaa
shule-ya-msingi-vijijini-620x308.jpg


5. Mafisadi kama kina Sioi wakwe wa Lowasa wameshafikishwa kwa Pilato.
Je kina mzee Ruge wa mapesa ya kwenye viloba na wenzake

6. Maandamano ya kijinga jinga hakuna..
kwasababu ya ubabe au shida walokuwa wakiandamana kwazo zimekwisha?

7. Watumishi hewa hakuna na ameokia mabilioni kibao hapa.
Je daudi bashite wa kolomije?

8 .Wanafunzi hewa hakuna

9. Nidhamu ya watumishi imeongezeka kwa asilimia 90
nidhamu ya woga
10. Cuf imedhibitiwa vizuri huko Zanzibar na wananchi wana amani sasa.
baada ya kumuweka Lipumba
11. Mbowe kashaisoma namba pale NHC japokuwa mnajifariji kesi kashinda subirini muone mwisho wa mchezo.

12. Mzee kingunge kashakata pumzi na sasa anatembelea bajaji.

13. Lowassa katika historia ya maisha yake hakuwahi kukamatwa na Polisi lakini kabla Magufuli hajakamilisha mwaka kashamnasa na kukojolea ndoo.

14. Lisu kapotea hathubutu tena kutamka neno Dikteta Uchwara.

15. Upanuzi wa barabara ya airport Mwanza.

16. Barabara za juu zimeshaanza Dar

17. Mabasi ya mwendokasi yameshaanza kufanya kazi.

18. Daraja la Kigamboni kashalizindua
Kajenga yeye
19. Mabehewa mapya ya tren yameshaingia.
Yale feki ya zamani yako wapi, na je wahusika wako wapi?
20. Katusaidia kudhibiti nidhamu ya bunge kwa kumtuma mwanamke wa shoka Dr Tulia.
kudhibiti au kukanyaga haki na usawa
21. Karekebisha diplomasia yetu na Rwanda.

22. Kadhibiti wakwepa kodi pale bandarini.

23. Kashazindua ujenzi wa reli ya treni ya umeme.

24. Kagawa vitanda nchi nzima.
hongera kamaushapewa kitanda ndugu
25. Umeme wa Rea unashika kasi huko vijijini.

26. Upanuzi wa Bandari ya mtwara.

27. Maelfu ya KM ya barabara za Lami zinajengwa kila mkoa nchini.

28. Kadhibiti nidhamu ya watumishi wa Umma.

29. Ujenzi wa viwanda 2500+ kila mahala hapa nchini.
Nimesikia hata mashine za kusaga unga mtaani zinawekwa kwenye idadi ya viwanda, pamoja na vijiwe vya kuchomea mageti
30. Karudisha nidhamu ya wawekezaji sio kuifanya TZ shamba la bibi.
 
1. Elimu bure kuanzia awali hadi form four inatekelezwa kwa vitendo.

2. Mahakama ya mafisadi imeshakamilika

3. Ndege sita zimeshanunuliwa mbili zimeshawasili.

4. Tatizo la madawati sasa ni historia nchini

5. Mafisadi kama kina Sioi wakwe wa Lowasa wameshafikishwa kwa Pilato.

6. Maandamano ya kijinga jinga hakuna..

7. Watumishi hewa hakuna na ameokia mabilioni kibao hapa.

8 .Wanafunzi hewa hakuna

9. Nidhamu ya watumishi imeongezeka kwa asilimia 90

10. Cuf imedhibitiwa vizuri huko Zanzibar na wananchi wana amani sasa.

11. Mbowe kashaisoma namba pale NHC japokuwa mnajifariji kesi kashinda subirini muone mwisho wa mchezo.

12. Mzee kingunge kashakata pumzi na sasa anatembelea bajaji.

13. Lowassa katika historia ya maisha yake hakuwahi kukamatwa na Polisi lakini kabla Magufuli hajakamilisha mwaka kashamnasa na kukojolea ndoo.

14. Lisu kapotea hathubutu tena kutamka neno Dikteta Uchwara.

15. Upanuzi wa barabara ya airport Mwanza.

16. Barabara za juu zimeshaanza Dar

17. Mabasi ya mwendokasi yameshaanza kufanya kazi.

18. Daraja la Kigamboni kashalizindua

19. Mabehewa mapya ya tren yameshaingia.

20. Katusaidia kudhibiti nidhamu ya bunge kwa kumtuma mwanamke wa shoka Dr Tulia.

21. Karekebisha diplomasia yetu na Rwanda.

22. Kadhibiti wakwepa kodi pale bandarini.

23. Kashazindua ujenzi wa reli ya treni ya umeme.

24. Kagawa vitanda nchi nzima.

25. Umeme wa Rea unashika kasi huko vijijini.

26. Upanuzi wa Bandari ya mtwara.

27. Maelfu ya KM ya barabara za Lami zinajengwa kila mkoa nchini.

28. Kadhibiti nidhamu ya watumishi wa Umma.

29. Ujenzi wa viwanda 2500+ kila mahala hapa nchini.

30. Karudisha nidhamu ya wawekezaji sio kuifanya TZ shamba la bibi.
Can I say more?!?!?!?
 
Ukiwa na akili timamu, nakupokengeza ulipotumia neno kadhibiti!
Na Ni kweli kadhibiti kukuwa kwa uchumi wa Tanzania kwa sasa!
Anachokifanya kwa sasa ni kujikosha na ufunguzi wa mirad alio asisi kikwete kutafuta Kik za kiuchumi!
 
Hata Musa wakati anawatoa wayahudi Egypt kwenda Israel njiani walipatikana wabishi na viburi na wengine walitamani kurudi Egypt lakini leo wajukuu zao ndio wanapata neema na kupendwa hata na watu wasiowapenda na kuchukuliwa kama ndio binadamu first class na wale wanaoamini ktk wao
 
Hakuna Gt duniani anayeweza kuandika point No.20 kama ilivyo. Wewe ni Mh. Bwege ingawaje siyo mbunge.
 
Back
Top Bottom