Mkuu Nyasigwa Mpeleke Hospitali akapimwe itajulikana ana matatizo gani yanayo msumbuwa mpaka atoke Damu puani.Asante Mzizimkavu ila sijajua tatizo linatokana na nini mbona sisi wazazi wake hatuna tatizo hilo?
tafuta dawa inaitwa SYLATE,generic name yake ni Etamsylate,hii ndo kiboko,kama upo Dar nenda kwenye pharmacy kubwa muone mtaalamu..please ulizia hyo ni very effective.!
mkuu kwanza pole sana pia
jaribu kumpeleka hospitalini alafu mwambie mode aamishe thread yako
kwenye jukwaa la madaktari nadhani utapata ushauri na tiba.
...mpeleke hospitali haraka usingoje hadi azidiwe...