welldone USA!
Kama ingekuwa ni soka tunasema USA wamecheza rafu nje ya uwanja. Unamvamia mtu kwenye Mansion? Haikuwa fair play kwa kuwa My Bin Laden hakuwa ofisini wakati huo, nachelea kuzifananisha na ngumi za kukimbilia meno... Braza wa watu amejipumzikia, wao wanampiga afu wanataka credit... Ah, nishasahau kumbe ni filamu ya CIAhood!
Osama Alijifia Muda Mrefu Kwa Maradhi Yake Binafsi, marekani Walipojua Habari Hizo Wakatengeneza Hilo Tukio La kukamatwa Kwake Ili Wapate Kick Duniani Thats Why Hawakuonesha Mwili Wake! Does It Bring A Sense Nchi Kama Marekani Wamkamate Osama Aliewasumbua Kwamuda Mrefu Then Waogope Kumuonesha? Mbona Sadam, Gadaffi nawengineo waliwaonesha hadharani?
Osama Alijifia Muda Mrefu Kwa Maradhi Yake Binafsi, marekani Walipojua Habari Hizo Wakatengeneza Hilo Tukio La kukamatwa Kwake Ili Wapate Kick Duniani Thats Why Hawakuonesha Mwili Wake! Does It Bring A Sense Nchi Kama Marekani Wamkamate Osama Aliewasumbua Kwamuda Mrefu Then Waogope Kumuonesha? Mbona Sadam, Gadaffi nawengineo waliwaonesha hadharani?
Osama Alijifia Muda Mrefu Kwa Maradhi Yake Binafsi, marekani Walipojua Habari Hizo Wakatengeneza Hilo Tukio La kukamatwa Kwake Ili Wapate Kick Duniani Thats Why Hawakuonesha Mwili Wake! Does It Bring A Sense Nchi Kama Marekani Wamkamate Osama Aliewasumbua Kwamuda Mrefu Then Waogope Kumuonesha? Mbona Sadam, Gadaffi nawengineo waliwaonesha hadharani?
Hakufa wala hajafa. Wamarekani walimtuma kazi ya kuuchafua uislam mashariki ya kati upate jina la ugaidi, alipomaliza kazi basi amejifoji sura anakula bata kwenye ma night clubs.
yaani walivomfanya osama ni sawa sawa....fumua ubongo kama mbuzi vile...si alikuwa anajifanya mwamba kiko wapi sasa..yaani kakamatwa na kuuwawa kama mgambo ya manispaa wanaokamata masufuria ya ubwabwa wa mama ntilie ....kumbe hakuwa lolote na si chochote mkwara tu
yaani walivomfanya osama ni sawa sawa....fumua ubongo kama mbuzi vile...si alikuwa anajifanya mwamba kiko wapi sasa..yaani kakamatwa na kuuwawa kama mgambo ya manispaa wanaokamata masufuria ya ubwabwa wa mama ntilie ....kumbe hakuwa lolote na si chochote mkwara tu
Halaf vifo vyao ama kukamatwa kwao huwa n vichekesho! Mfano: Saddam Hussein alikamatwa akiwa amejificha kwenye shimo la shamban kwake kakutwa kama msukule! Haya, gaddaf nae akakimbilia kwenye shimo la kupitishia maji machafu barabaran kalavat! Licha ya kuwa na utajiri mwingi Larkin mwisho siku akikamatwa ama kuuwawa wanakuwa wapolee na wanakamatwa kwenye mazingira ya vichekesho kabisa! Kweli nimeamini siku ya kufa nyani miti yote uteleza!