Landcruiser
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 1,805
- 601
He! Kumbe huwa mnanunua? Vipi bei inakuwa fixed au kunakuwa na bargaining?? Naona mie ninayetoa papuchi yangu bure napata hasara!
Si una resources nyingi ndo mana unatoa bure.
He! Kumbe huwa mnanunua? Vipi bei inakuwa fixed au kunakuwa na bargaining?? Naona mie ninayetoa papuchi yangu bure napata hasara!
He! Kumbe huwa mnanunua? Vipi bei inakuwa fixed au kunakuwa na bargaining?? Naona mie ninayetoa papuchi yangu bure napata hasara!
umenikumbusha akina Rahabu,mary magdalena,bethsheba etc.Sex workers na wanunuzi wapo toka miaka YA BC hata kabla ya ROMAN empire so usitoke povu mkuu
He! Kumbe huwa mnanunua? Vipi bei inakuwa fixed au kunakuwa na bargaining?? Naona mie ninayetoa papuchi yangu bure napata hasara!
Mkuu Malafyale yuko sahihi, japo alipaswa kusema "Gigolo" na si "Jigolo"!Jigolo? Aisee huu msamiati mpya kwangu, ni kinyakyusa au kiswahili?
He! Kumbe huwa mnanunua? Vipi bei inakuwa fixed au kunakuwa na bargaining?? Naona mie ninayetoa papuchi yangu bure napata hasara!
Hivi ni sababu zipi zinazowafanya wanaume kununua sex yaani kumchukua mwanamke na kufanyanae ngono kwa kumpatia ujira?
Sijakuelewa, ina maana mrembo ndiye anayeuza aua asiyeuza? Na mazingira yana-influence vipi biashara ya papuchi?Inategemea mazingina na urembo wako
He! Kumbe huwa mnanunua? Vipi bei inakuwa fixed au kunakuwa na bargaining?? Naona mie ninayetoa papuchi yangu bure napata hasara!
Sijakuelewa, ina maana mrembo ndiye anayeuza au asiyeuza? Na mazingira yana-influence vipi biashara ya papuchi?Inategemea mazingina na urembo wako
Sawa kabisa bhana eti demu ni wako lakini itabidi uvizie siku yuko off ndio upate sasa soo linakuwa kubwa kama una mke siku yuko off ndio siku waif nae anaratiba zake na wewe lini mtaonana? unabakia mtu wa kuliwa mpunga tu mara dia kodi ya nyumba mara ada mdogo wangu karudishwa mara shangazi kaja anataka nimtoe na hapo hujaigonga una wiki tatu sasa tabu yooote ya nini na vitu poa vimejaa ndio mana midada mingi iko juu ya mawe kwa mambo ya ujuajiukimpa mwanume kila anap[otaka hawezi kwenda hata kidogo ila akiwa na kiu alafu wewe unaleta mapozi lazima akafanye biashara haramu
kwani una bread mwezi mzima ukinipa siku 27 toa nne za ku bread ndani ya mwezi kuna tatizoNdio maana nasisitiza muwe mnatumia kinga jamani,
na kukupa K kila unapotaka ni haiwezekani,niko katika MP( Menstruation period) na we unataka
si utaenda tu huko,au mkeo katoka kujifungua hapo haruhusiw Ku do for sometime.
siku hizi kuna mpk k za kukopeshwa ila saa ya kulipa unalipa kwa riba
Hivi ni sababu zipi zinazowafanya wanaume kununua sex yaani kumchukua mwanamke na kufanyanae ngono kwa kumpatia ujira?