Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,606
Kumekuwa na matukio mengi ya watu kujiua either kwa kunywa sumu , kujinyonga, kujichoma kisu au kujipiga risasi...
Tulio hai hatujui ukali wa maumivu wakati wa kukata roho. Hali kadhalika hatujui huko tuendako kukoje. Hata siri ya kaburi hatuijui. Wengi wanahisi, kukisia kutokana na vitabu mbalimbali vya dini, wanasaikolojia, wanasayansi n.k!
Mtu anajua kabisa nikijipiga risasi, napoteza maisha lakini anafanya hivyo.
Haogopi maumivu? Haogopi adhabu ya kifo? Haogopi ahera?!
Mtu huyo anaacha familia, watoto, ndugu, jamaa, mali n.k....lakini anajimaliza mwenyewe.
Najua hapa wapo wataalamu wengi, ni hali gani humtokea mtu katika dakika za mwisho mpaka anaamua kujiua??
Tulio hai hatujui ukali wa maumivu wakati wa kukata roho. Hali kadhalika hatujui huko tuendako kukoje. Hata siri ya kaburi hatuijui. Wengi wanahisi, kukisia kutokana na vitabu mbalimbali vya dini, wanasaikolojia, wanasayansi n.k!
Mtu anajua kabisa nikijipiga risasi, napoteza maisha lakini anafanya hivyo.
Haogopi maumivu? Haogopi adhabu ya kifo? Haogopi ahera?!
Mtu huyo anaacha familia, watoto, ndugu, jamaa, mali n.k....lakini anajimaliza mwenyewe.
Najua hapa wapo wataalamu wengi, ni hali gani humtokea mtu katika dakika za mwisho mpaka anaamua kujiua??