Tized
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 4,025
- 5,980
There you are. Kuna watu wengi wameacha kujisimamia kisa eti waliokuwa wakiwaangalia kama kioo chao nao wanacheat. Hii kitu ni swala binafsi... halitegemeani na mtu mwingine yeyote ili wewe uwe utakavyo.
Kuna kaupepo kanapita sasa hivi best... ''SI KILA MTU ANAFANYA?'' unakaa na vijana unawasikiliza unashangaa kwa kweli... hawajifikirii wao kama wao tena, wanaangalia wangapi wanafanya na wangapi hawafanyi... Kama wengi wanafanya HIO NI HALALI. uhalali wa kinachofanywa hakiwahusu. Huu ndio mtazamo wa jamii kwa sasa.
(Iwe ni wizi wa maofisini, mali ya uma, kuingiliana kinyume na maumbile, ku-cheat, wake za watu, kamari... you name them)
Kuna kaupepo kanapita sasa hivi best... ''SI KILA MTU ANAFANYA?'' unakaa na vijana unawasikiliza unashangaa kwa kweli... hawajifikirii wao kama wao tena, wanaangalia wangapi wanafanya na wangapi hawafanyi... Kama wengi wanafanya HIO NI HALALI. uhalali wa kinachofanywa hakiwahusu. Huu ndio mtazamo wa jamii kwa sasa.
(Iwe ni wizi wa maofisini, mali ya uma, kuingiliana kinyume na maumbile, ku-cheat, wake za watu, kamari... you name them)
There we go.........
It begins with you.
mimi nataka nini? nafanya nini? haijalishi mwenzio anataka/anafanya nini. I like this