Sababu za kwa nini huwa tunachepuka

Sababu za kwa nini huwa tunachepuka

Hizo zote ni mbwe mbwe tu, kwa kifupi, kuruka fensi kwa sisi wanaume ni asili tu.
Ila nakubaliana na swala la michepuko mingi haipendi/haitaki taraka, wanachotaka ni kuchepuka na kurudi kwa my wife/husbund wake.
 
hao kwa kweli ndio wale wanaotajwa kwenye maandiko kuwa wanadai kumtumikia Mungu lakini matendo yao ni kinyume kabisa,lakini kwa wale wanaomwabudu Mungu kikweli na kutoka moyoni ndoa zao zenye furaha huwa na furaha ya kweli na no cheating at all.
la ajabu..... tunaodhani kuwa wana hofu ya Mungu ndo wanaongoza kwenye hili.....
I was shocked niliposoma kuhusu ndoa ya Pastor Chris na Anitha wa Christ Embassy..... yaani ukiwaona wapo pamoja you will pray to God to grant you a marriage like theirs.......... so so so disappointing
 
Daaaaaa nikwelii mkuu .cjuii ht twaelekeaa wapii penginepoo ndio mwishoo wetu

hii inainclude hata wale viongozi wetu wa dini?

Haya mambo si mageni na ni ya kihistoria...Kama ni msomaji wa biblia utakumbuka mfalme Daudi ali cheat na mke wa mtu...kama hiyo haitoshi, alinogewa akamuuwa huyo mwanaume ili amiliki mzigo vizuri.
 
Hizi simu za touch screen..tabu ..message was for you.... Hujambo?naku miss miss...
sijui ni mod gani kabadilisha title ya uzi wangu.....
sasa watu wanadiscuss sababu za kutoka nje ya mahusiano.
My title wasnt this and I didnt want us to discuss this sababu tumeshaongea sana. I wanted us to discuss wale wanaotoka nje ya mahusiano wakati wapo "happily married"
naku-miss miss too my dear...... Nyani Ngabu umeona jibu la rafiki? angalia pia walivyotubadilishia uzi wetu
 
Last edited by a moderator:
Haya mambo si mageni na ni ya kihistoria...Kama ni msomaji wa biblia utakumbuka mfalme Daudi ali cheat na mke wa mtu...kama hiyo haitoshi, alinogewa akamuuwa huyo mwanaume ili amiliki mzigo vizuri.
alikuwa happily married?
 
hao kwa kweli ndio wale wanaotajwa kwenye maandiko kuwa wanadai kumtumikia Mungu lakini matendo yao ni kinyume kabisa,lakini kwa wale wanaomwabudu Mungu kikweli na kutoka moyoni ndoa zao zenye furaha huwa na furaha ya kweli na no cheating at all.
you are right......
wanajivalisha ngozi ya kondoo, lol!
 
asante rafiki BAK kwa mchango mzuri.....
ikawaje tena ukala ban?
pole sana
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Kama male anza na m kama female f hata kama sio wewe lete sababu za michepilo
 
F kwa sababu siridhiki na kile nnachopata kwako
 
Sababu ya umalaya, ulevi na kutokuambiana ukweli, kutokusikilizana, kutokuwa na upendo wa kweli, kutokuridhika na wako, tamaa, ulimbukeni, ushamba na kutokuwa na hofu ya Mungu.
 
F ila ukijibinua nakuwa M
...tatizo wengi vibamia
 
M kwa sababu wanawake wanalaza tofauti na k zimekaa tofauti kiasi na zote zina ladha zake.
 
wengine viuno vyao vimebunuka ,wengine vyepesi.sasa mmoja hatoshi
 
Back
Top Bottom