Sababu za kupewa pesa za field nusu nusu

Sababu za kupewa pesa za field nusu nusu

donMramba

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
250
Reaction score
43
Ivi bodi ya mikopo imetoa sababu za kutupatia fedha za field nusu nusu??ni kwamba pesa hamna au wana sababu gani kufanya hivyo...
 
Wanafanya uhakiki kuakiki wanafunzi wasio na sifa waondolewe vyou vikuu ili mpewe stahiki zenu! Ila kikubwa hapa ni kwamba inaonekana bodi haina pesa hivyo ni visingizio tu!!

Muhusika Mkuu Ndalichako alidai kiama chaja kwa wanafunzi na wahitimu wa vyuo vikuu wasio na sifa watakiona cha mtema kuni. Akadai kila jiwe litabomolewa hakuna jiwe litakalosalia.
Hivyo tunasubiria kuona matamko kwa athari ya watoto wa wakulima wa nchi hii.stay turned!
 
Hivi na ile nusu iliyokabakia wamemalizia tayari
 
Vuta Subira mpaka zoezi la kuhakiki Wanafunzi hewa then wanahakiki Wafanyakazi hewa wa Bodi ya Mikopo
sisi mbona tulishahakikiwa tangu kitambo mkuu....si wangetupatia wale ambao tumeshahakikiwa pesa yetu yote then wapewe nusu kwa vyuo ambavyo havijahakikiwa...pia wakati naomba mkopo hamna kipengele cha kusema bodi watanipa nusu.............
 
[HASHTAG]#udom[/HASHTAG] pia bado.
Tunaambiwa chuo kimeshapokea pesa ila kufanya mchakato wa kuwalipa wanufaika ndo magumashi..
 
Back
Top Bottom