Benzema kaachwa kwa vile alikuwa hapangwi kwenye club yake.kama nasri hafai style yake kwanini mwanzo alimwita sasa? Ukweli nikwamba domenech hajui anachofanya sasa hivi ndio maana ali struggle hata kuiqualify na france itaendelea ku-struggle mpaka atakapoondoka.
Nimeshangaa pia watu bado wanalalamika ati Viera naye hakuitwa. Viera limebaki jina tu. Hana lolote.
Kusajiriwa na Man City si chochote - yule kocha wa Man City naye hajui anachokifanya
UR right AW. Nasri alistahiki kuchaguliwa, ila kocha Domenech ni kimeo.
Sijui ana kizizi kama Benitez? Wanaharibu lakini wamo tu, kama wanasiasa wa Bongo.
Benzema hapangwi Real Madrid, hivyo kuachwa si issue. Ila kwa kumuacha Nasri, Domenech amechemsha vibaya.
viera hapo man city tu anachemsha na anatia huruma,sidhani kama mtu aliyeangalia kiwango cha Vieara sasa hivi anaweza kulalamika kuachwa unless kama anapelekwa kuwapa moyo vijana wapya.kama vipi aende tu kukaa kwenye bench lao sio mbaya kama beckham atakavyo fanya.
huyo beckham mwenyewe media tu ndio inamsaidia lakini hakustahili kuitwa ukitoa injury kumnyima nafasi.
I beg to differ. Hivi kati ya Diaby na Vieira nani anastahili, nijibu bila ushabiki.
I beg to differ. Hivi kati ya Diaby na Vieira nani anastahili, nijibu bila ushabiki.
Arsenal ina wachezaji 3 tu wanaofaa kucheza world cup! Cesc, RVP na Vermelen wengine ni magarasha akiwemo Nasri!
Arsenal ina wachezaji 3 tu wanaofaa kucheza world cup! Cesc, RVP na Vermelen wengine ni magarasha akiwemo Nasri!
Of course Nasri anacheza kwa sababu Arsenal is group of mediocres, their zero achievements speaks for themselves. Kaa mie ningekuwa kocha wa France nikaambiwa nichague wachezaji 50, huyu mmanga asingeona kitu bado.
Naomba maelezo ya yanayojitosheleza kuhusu hiki kitendo cha kikatili dhidi ya nyota huyu - au kwa sababu ni Muarabu?
The omission of Arsenal midfielder Samir Nasri is another decision I cannot get my head round. In fact Domenech must be appearing in ‘one flew over the cuckoo's nest 2′ with the decisions he is making. Nasri has been one of the Gunners better players this season and to be fair to him, he stepped up to the plate when Cesc Fabregas was injured as the team's playmaker. For him to be ignored with players like Yoann Gourcuff, Mathieu Valbuena and Sidney Govou in the squad beggars belief.
http://community.footballpools.com/...nch-coach-is-nuts-to-leave-out-benzema-nasri/
Sishangai kusikia haya toka kwako...........................na Chelsea je?????????,ni wachezaji wangapi?
Mpemba bana.................Kila siku nakuuliza swali hunijibu(ukiweka Rossoneri pembeni) ni timu gani waishabikia England weye????