pappilon
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 3,192
- 3,556
Magufuli ni shetani lucifer toka kuendesha vikundi vya uuaji kufungwa watu bila kuwa peleka mahakama I na kutukana mawaziri tena wa wizara nyeti hovyo kabisaMimi natafakari sana hivi watanzania tuna taka nini? Wakati wa JK Tulisema jk ni dhaifu tunamwitaji Rais mkali.
tumempata huyu mkali tena mzalendo asiye mwonea haya mtu anaevurunda. Tunaanza kumkejeli!
hivi tumerogwa na nani watanzania?
mimi nasimamia makampuni yangu binafsi niseme kweli. Watanzania walio wengi ni wavivu na wazembe, kazi kupiga maneno, kukosoa, na kulalamika.
mimi nisingekua mkali nisingeweza kufanikiwa kibiashara, unaajiri watu wanaleta uzembe kwenye kazi na unajikuta unaingia hasara na umewekeza pesa nyingi.
Magufuli akiongea juu ya kuwa mkali namwelewa sana maana na mimi ni kiongozi. Ukiwa endekeza ujinga wa watu waliochini yako unaanguka.
Mwisho
Watanzania tubadilike. Tumwunge mkono huyu Rais. Kweli histori itakuja kutu hukum kwamba tulimpata Rais mwema tukamdharau. Na Mungu ataruhusu taifa lipate kiongozi mwizi atunyooshe tushike hadabu.
Wewe kuwa na akili. Mbinu anayotumia Rais Magufuli ni ile itumikayo kwenye kazi za jaribu kama vile bandarini, Ujenzi jeshini na hata Tanesco kwenye uwkaji wa nguzo. Huko hakuna diplomatic tone or assertive response.unaweza kuwakalia wasaidizi wako kooni bila kuwavunjia heshima zao, tena mbaya zaidi unajisifu kwa kutangaza hadhari kuwa hua unawatukana na hawataki tu kusema, hawa ni wasomi watu wazima wenye familia zao, leo mwanao anaona kwenye TV kua mzee hua unatukanwa 'pumbavu' na bosi wako tena bosi mwenyewe ni 'dogo' tu, Loh!
nayachukia sanaa haya majituu mkuu!afu yanakuja na kiful cha kuhubiri uzalendo kumbe majiz tuHakuna mwanaccm.mwenye uwezo.wa kumiliki.hiashara kwa akili yake bila kubebwa na chama na serikali ya kijambazi Wako wapi akina Manji, Mo, Wema, Kinana, na wengine kibao tu.
"Profesa Kabudi na Waziri Mpango wanazungumza tu hawataki kusema lakini kama ni pumbavu kwenye simu wametukanwa mno.
Waulizeni wapo hapa, wananizidi umri lakini pumbavu zinakuja tu harakaharaka zenyewe.
Ndio ukweli kwa sababu hii kazi sio ya kubembelezana lazima tuipeleke kijeshi" Rais Magufuli.
Nimekuwa nikitafakari sana juu ya mwenendo wa nguli wa sheria na katiba Prof. Kabudi katika uongozi wa awamu ya tano. Ninakumbuka Prof huyu akiwa mjumbe wa Kamati ya katiba ya Warioba. Alionyesha kuwa muumini wa demokrasia na utawala bora.
Leo hii amegeuka mpambe akishuhudia uvunjifu wa demokrasia na utawala bora.
Kumbe hiyo haitoshi,anakula mitusi. Daaah,hata kama ni uwaziri sio kwa upambe na mijitusi hiyo
Upumbavu tu ndio unaweza kumfanya mtu ageuke mpambe na hasa kama huyo mpumbavu ametokea Jalalani!"Profesa Kabudi na Waziri Mpango wanazungumza tu hawataki kusema lakini kama ni pumbavu kwenye simu wametukanwa mno.
Waulizeni wapo hapa, wananizidi umri lakini pumbavu zinakuja tu harakaharaka zenyewe.
Ndio ukweli kwa sababu hii kazi sio ya kubembelezana lazima tuipeleke kijeshi" Rais Magufuli.
Nimekuwa nikitafakari sana juu ya mwenendo wa nguli wa sheria na katiba Prof. Kabudi katika uongozi wa awamu ya tano. Ninakumbuka Prof huyu akiwa mjumbe wa Kamati ya katiba ya Warioba. Alionyesha kuwa muumini wa demokrasia na utawala bora.
Leo hii amegeuka mpambe akishuhudia uvunjifu wa demokrasia na utawala bora.
Kumbe hiyo haitoshi,anakula mitusi. Daaah,hata kama ni uwaziri sio kwa upambe na mijitusi hiyo
Wacha ujinga wewe au hujui uchungu wa kuzaa? Akiwa waziri wa katiba na sheria kilichompata Lissu yeye alisemaje? Kufungwa kwa akina Mbowe kufuatia kifo cha mwanachuo Akwilina yeye alijibuje? Usijidai taahira tumia akili alizokujalia Mungu kuitetea haki nayo ni ibada...ndiyo maana mnayemtetea huwatukana kuwa wapumbavuTuliopitwa tuandikie mifano ya uliyodai.
Wacha ujinga wewe au hujui uchungu wa kuzaa? Akiwa waziri wa katiba na sheria kilichompata Lissu yeye alisemaje? Kufungwa kwa akina Mbowe kufuatia kifo cha mwanachuo Akwilina yeye alijibuje? Usijidai taahira tumia akili alizokujalia Mungu kuitetea haki nayo ni ibada...ndiyo maana mnayemtetea huwatukana kuwa wapumbavu
Unatetea upuuzi huku huingizi hata mia,unavuna madhambi kisa upambe huo unaitwa upambe mavi. Usitetee mauaji unajitwisha ushetwani. Na skuiz tumefundishwa kutukana Pumbafff...acha tumuige rolimodo wenu!!Unauwehu wewe
Embu tueleze kuzaa uchungu wake umekupata mara ngapi.. na ulizaa nini haswaa?
Naunga mkono hojaKusoma sana sio kujitambua.Hawa ni kuwa hawajitambua na kwa hiyo hawaelewi thamani yao.Hawa wako tayari kutukanwa na kudharauliwa,kuvunjiwa heshima ili mradi waendelee kubaki na ajira zao.
Lakin mtu anayejithamini huwezi kuona anafanya hivyo hata Magufuli hawezi kukuteua.Magufuli anateua mazezeta ili ayaendeshe kama mazombi yaloona nyama.
hata rais nae ni kilaza tu,kwa nini utukane kwa kisingizio cha kazi?unaweza kuwakalia wasaidizi wako kooni bila kuwavunjia heshima zao, tena mbaya zaidi unajisifu kwa kutangaza hadhari kuwa hua unawatukana na hawataki tu kusema, hawa ni wasomi watu wazima wenye familia zao, leo mwanao anaona kwenye TV kua mzee hua unatukanwa 'pumbavu' na bosi wako tena bosi mwenyewe ni 'dogo' tu, Loh!
Unatetea ujinga na upumbavu wewe.sijui utakuwa msukuma?Wewe kuwa na akili. Mbinu anayotumia Rais Magufuli ni ile itumikayo kwenye kazi za jaribu kama vile bandarini, Ujenzi jeshini na hata Tanesco kwenye uwkaji wa nguzo. Huko hakuna diplomatic tone or assertive response.
Wanaofanya naye kazi wanajua kiu yake ya maendeleo kwa Watanzania ndio maana humuelewa.
Pumbavu aise unakosea sana na utajilaumu baadae treni hii iko kasi haisimami, nakushauli upande treni tuunge tera