Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,725
- 4,666
Aisee bado badooo
...pesa zote wamewapa wafunga buti walio ruka sarakasi kwenye sherehe miaka 50 za muungano batili..
Mei Mosi ndo kesho ila mishahara hd ss bado. Vp mikoa mingine?
.... Kwani hamjui kuwa tulikuwa na maonyesho ya miaka 50 ya Muungano? Jamani tuwe na tabia ya kuvumiliana kidogo...
Mtakufa kwa nyie.njoni karatu halmashauri safi chn ya chama makini chadema.
Mei Mosi ndo kesho ila mishahara hd ss bado. Vp mikoa mingine?