Sababu ya kwa nini wewe bado ni masikini

Sababu ya kwa nini wewe bado ni masikini

HAYO NI MANENO TU! UMASKINI UPO TU HATA MTU AKIWA MAKINI KWENYE MAPATO NA MATUMIZI.
 
Wewe ni number ngapi katika list ya watu matajili? Mim ni namba bilion 7 huku
 
Nijuavyo mimi,hiyo inaitwa "pay yourself first' it means unatunza % kadhaa kulingana na kile ulichokipata kwenye mishe zako/biashara zako,huwa tunashauri saving ianzie 10%,ila kama pesa ulopata ni nyingi unaweza jilipa 20% n.k na kui_save,at the end of the day hiyo pesa inatakiwa iingie nayo kwenye mzunguko(ilete pesa)
Japo wengi huwa wanadhani "pay yourself first" ni kujimegea kiasi fulani kwenye kipato ulichoingiza na kufuja/kustarehe/kununua vitu vya anasa,Big No...
Barikiwa sana
Well explained
 
hizi kanuni nyingine mnazozisoma kwenye vitabu vua wazungu msituletee huku, unazungumzia saving kwenye mshahara wa 250000!
Kuna wengine hawana hata mshahara but wanaweka akiba

Is all about determination
 
Kanuni ya kipuuzi kabisa ..sasa nini maana ya kutafuta pesa ,ikiwa hupati chakula ,mavazi, hakuna outing kidogo kujipa furaha ya mwili na akili

Tunatafuta ili tutumie kulingana na mahitaji yetu ,maisha yenyewe siku hizi inakwenda anti-clockwise
Every action has an equal and opposite reaction

Keep pushing
 
Back
Top Bottom