Two dimension array
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,592
- 2,383
Saving inanishinda jaman dah sijui nifanyaje
Nijuavyo mimi,hiyo inaitwa "pay yourself first' it means unatunza % kadhaa kulingana na kile ulichokipata kwenye mishe zako/biashara zako,huwa tunashauri saving ianzie 10%,ila kama pesa ulopata ni nyingi unaweza jilipa 20% n.k na kui_save,at the end of the day hiyo pesa inatakiwa iingie nayo kwenye mzunguko(ilete pesa)Yaani hapa kwenye kujilipa ndio sijakuelewa bado ninajilipa kiaje eti?
Saving inaambatana na malengo,first unakuwa na lengo kwanini una_save,ila kumbuka malengo ni adhabu,kuishinda hii adhabu ndio huleta mafanikio,nidhamu ya matumizi ndio husaidia ku_save kiasi kingi cha pesa.Saving inanishinda jaman dah sijui nifanyaje
Huwa unanipa nakuwekeaSaving inanishinda jaman dah sijui nifanyaje
Kama una kipato kikubwa weka kwenye real estate (nunua nyumba, viwanja na mashamba)Saving inanishinda jaman dah sijui nifanyaje
Basi kausha mkuu!!Mambo ya kudanganyana
Inahitaji nidhamu sanaSaving inanishinda jaman dah sijui nifanyaje
That's a negative reasoningMaisha ya mafanikio ni foleni kama wakati wako bado hata ukitembelea kichwa ni bure tu.