Sababu mbili kwanini bado upo single

Wangeoa na kupata watoto tungetunza genes zao mpaka leo
 
Dunia Ina watu zaidi ya billioni 7.2 afu eti Kuna watu bado wapo single jamani?

Bora wanawake wawe single maana idadi yao Ni kubwa kiasi kulika idadi ya wanaume Duniani,lakini mwanaume kuwa single kwa Karne hii Ni uzembe uliotukuka.
 
Wangeoa na kupata watoto tungetunza genes zao mpaka leo
Nakubaliana kabisa na wewe. Japo siyo mara zote watoto huwa kama wazazi, kuna sababu mchanganyiko nyingi zaidi ya vinasaba zinazofanya mtu kufanikiwa kwenye maisha.

Leo hii tuna familia ya Habsburg kule Austria, ambayo nadhani ina historia kubwa kuliko familia nyingine yoyote kule Ulaya. Kama ni vinasaba na historia kubwa, hawa ni wakubwa kuliko The Windsors, The Ramanovs, The Bourbons n.k

Familia ya Habsburg ndiyo imetoa wafalme wa dola takatifu la rumi (The Holy Roman Empire) kwa miaka 500 mfululizo hadi kufika karne ya 19 na mpaka leo hii bado wapo. Watoto hawajafanya makubwa yoyote yale kama watangulizi.

Hata mtangazaji Anderson Cooper ni kitukuu cha tajiri mkubwa kuwahi tokea nchini Marekani, Cornelius Vanderbilt. Baada ya Cornelius watoto walifuja pesa zote na leo familia haipo kama zamani.

Heri uwe peka yako uifanyie makubwa dunia kwa nguvu bila kuwa na watoto na mke ambao mara nyingi watakuletea kiwingu, lawama, maumivu na mara nyingine hata kukukwamisha. It's lonely being at the top, and this is a bitter fact to swallow.
 
Mwanamke kutongozwa, ni moja ya ishara ya kuthibitisha uzuri alionao, mvuto, pamoja na hali ya kupendeka kwa wanaume.

Ndio maana wanawake wengi hujipamba na wengine kujiongezea maumbo mbalimbali, ili aweze kuvuta hisia za mwanaume, na kutongozeka.

Asipotongozwa, huwa wanajisikia vibaya na wengine huwa wanakuwa wakali wakali, kwa kuhisi labda ni wabaya.

Kwa hiyo, wanaume tuendelee kutumia nafasi yetu ya kuwatongoza, ili hawa ndugu zetu waweze kuona dunia ni sehemu sahihi ya kuishi.

Kwa wewe mrembo unayetaka kutongozwa, nyoosha mkono juu πŸ˜€ πŸ˜€
 
Ngoja tumuulize figo76 kama analitambua hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…