Sababu mbili kwanini bado upo single

Sababu mbili kwanini bado upo single

Poleni sana wajasiria vitumbua, ndio maana kila siku mnaomba ushauri.
Mwanaume akigundua wewe pesa mbele hakuna rangi utaacha kuona.
Unatumia na unalipwa na baada ya hapo hataki mazoea na wewe
Fresh tu ndo hali ya sasa hata ivyo.
 
Back
Top Bottom