True mzee na ndio maana tunakazana kutoa elimu ili wajifunze.Kuna tofauti moja tu kati ya sis(men) na wanawake
Wao mala zote huwa wanawaza leo wakati mwanaume nawaza maendeleo na namna ya kujikwamua kwenye umaskin, kwaiyo anawaza nitaishije kesho na ntakuwa wapi na hali gani kesho.
Mwanamke ambae hana plan yeyote yeye anawaza kukuomba hela huo ni mzigo broh.
HahaaHebu mwambie akupatie namba kwanza umuonyeshe namna watu husema Hello kidon. [emoji23][emoji23][emoji23]
Khaaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi sio mtu wa kudate na watu wengi. Niliye nae ana pesa ya kawaida tu...napata mahitaji muhimu angalau. Na ikibidi nitoke na mtu kwa kweli haiwezekani awe na pesa ya mawazo...
Sitegemei anipe pesa na wala simsumbui sana kumuomba pesa( naomba nikiwa nina uhitaji wa kweli).
Ila mtu anae lalamika hana pesa kwa kweli anipitie mbali.
Napenda mtoko wa maana sio bar za uswazi, napenda kula vizuri, kunywa kinywaji nipendacho na zawadi za hapa na pale.
Faida ni kupata raha moyoni.
Yaani wewe kama bado unalipia kupata mbususu basi bado una safari ndefu ya kujitafuta.
Demi huyo hahaaKhaaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Demi ni mtani wangu sana tangu kitambo usikimbie 🤣🤣🤣Ngoja nikimbie kabisa hii vita ya mapanga hii. [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Sasa hapo nenda taratibu mzee umepewa tips na clues za kumuingia ustake kila kitu kimalizwe hapa hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sawa si ulisema unataka ule vizuri, unywe vizuri, mitoko isiwe bar za uswazi na vizawadi vya hapa na pale.
Haijalishi maana mnaolalamika ni wachache. Wanaotoa pesa tena bila kuombwa wapo kimyaaa😀Dah hapa hapa na tupo kwenye malalamiko.
Huwezi😅😅I'll cook it and have a meal