Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,573
- 94,873
Hilo ndo tatizo lako. Lazima ununue...Shingapi?
Wenzio wanapewa bure bure.
Hilo ndo tatizo lako. Lazima ununue...Shingapi?
Kwa hiyo tumekubaliana kuwa kununua haimaanishi mwanaume anajitafuta?KIla mtu na matakwa yake.
Mbona wewe huna huo uwezo wa kuwanunua mastaa wa kike? Tatizo nini?
Hahaa poa basi nitunuku free mtu wangu wa nguvuHilo ndo tatizo lako. Lazima ununue...
Wenzio wanapewa bure bure.
Wewe hujafika hizo level za upedeshee..bado unajitafuta.Kwa hiyo tumekubaliana kuwa kununua haimaanishi mwanaume anajitafuta?
Nehi...over my dead body.Hahaa poa basi nitunuku free mtu wangu wa nguvu
Tukikupa na wewe utatoa au hutoi?Naombeni pesa wandugu
Staki kuolewa jamani si mnipe tuTukikuoa na wewe utatoa au hutoi?
Ehehehe..sasa tukupeje na hakuna connection ? Maana kutoa kunaendana na kupokea.Staki kuolewa jamani si mnipe tu
Mbona wewe hujafikia level za kununuliwa na mapedeshee sanasana ni sisi tulio na uwezo kama wa bwana wako uliyemsema na sisemi. Tutunziane siri bwanawee!Wewe hujafika hizo level za upedeshee..bado unajitafuta.
Na umeshajiwekea kulipia mbususu kila unapohitaji. Utajikuta unaangukia kwa wale wa aftatu.
Sio vizuri ujue. Fanya kama unatoa sadaka. Ni mungu atakulipaEhehehe..sasa tukupeje na hakuna connection ? Maana kutoa kunaendana na kupokea.
Natoa napokea
Unatoa unapokea
Aisee..Mbona wewe hujafikia level za kununuliwa na mapedeshee sanasana ni sisi tulio na uwezo kama wa bwana wako uliyemsema na sisemi. Tutunziane siri bwanawee!
Ni kwel kabisa ila unaonaje ukanitikisia maboga hayo kama malipo, tusimsumbue Mungu ana mambo mengi ya dunia nzimaSio vizuri ujue. Fanya kama unatoa sadaka. Ni mungu atakulipa
Hautaki mizaa ya kipuuzi kabisa mzee.Mm nimetoka kummwaga binti moja nilikua naye kwenye mahusiano recently kwa tabia yake hyohyo kujiona yeye ndio ana haki sana kuliko mm, wakati muda wote mm km mwanaume nimekua nikiwajibika kwake Lkn sasa yeye mwenzangu HT kujizima data siku moja kuninulia biskuti au HT kalamu hajawahi kudadeki zake , nimemuacha kimyakimya na visimu vyake anavyoendelea kunipigia kila cku hata sina mpango wa kupokea I swear, Bora kudate na watu wazima wanaoelewa maisha jmn wanaume wenzangu mm nimejitosa![]()
Hapana kwa kweli..Ni kwel kabisa ila unaonaje ukanitikisia maboga hayo kama malipo, tusimsumbue Mungu ana mambo mengi ya dunia nzima
Sawa si ulisema unataka ule vizuri, unywe vizuri, mitoko isiwe bar za uswazi na vizawadi vya hapa na pale.Aisee..
Mimi sijataka kununuliwa. Na sidate na mtu kwasababu ya kuhitaji pesa. Nadate na mtu kwa kutaka kuliwa basi...
Na hapa ndipo huwa hawaelewi wanaume wakisema wanatafsiri kuwa wanaletewa njaa.Sababu kubwa ni njaa ambayo IPO katika akili zao and nothing else.
Unakuta MTU anaomba mambo ambayo ni madogo unabaki kushangaa
Vocha
Kusuka
Mavazi
Kodi
Chakula
MTU Kama huyu anaomba mambo madogo Kama hayo na haujamuoa![]()
I'll cook it and have a mealNehi...over my dead body.
Basi ndio akupe na hela ,hiz zetu tuna kazi nazoHapana kwa kweli..
Ngoja tu nimtikisie huyu wa huku😅