Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,037
Sababu nyingine ambayo inauma sana ni hawa Traffic wanaojificha na tochi, nimeshuhudia ajali moja maeneo ya Kibaha Maili moja na nyingine Korogwe- I think ni kwasunga, eti hawa jamaa wamejificha porini na ukishotkeza na spidi zako nao wanajitokeza ghafla, wanakupiga tochi....ukifunga breki ghafla waweza toka nje ya road