Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 18,737
- 13,633
Naomba mnieleweshe...hivi ni sababu ipi hupelekea wana ndoa...mke na mme kufungua account ya pamoja...
1. Kutokuaminiana katika matumizi ya fedha
2. Mahaba yaliyopitiliza... Au kuna sababu ipi nyingine?
Je ni jambo jema kufungua account ya pamoja?
1. Kutokuaminiana katika matumizi ya fedha
2. Mahaba yaliyopitiliza... Au kuna sababu ipi nyingine?
Je ni jambo jema kufungua account ya pamoja?