Sio kweli!! Mzumbe 'is tha one of tha most respected university in tz.
we nae cjui hata umetokea wapi,kuna chuo kinatoa wanafunzi ambao hawajui lolote kama mzumbe hapa tz?unakuta m2 ana masterz lakin hana tofauti na 1st year student...peleka huu ujinga wako huko huko mzumbe na co hapa kwa jukwaa la great thinkers.Maharage ya Mbeya yana sifa ya kuiva haraka, utamu na wingi wa vitamini. Kwa hiyo kama MBA za Mzumbe zinaitwa Maharage ya Mbeya kwa sababu hiyo sina tatizo ila kuzibeza eti kwa kuwa wanafunzi wanafuzu haraka na wanakuwa hawajapikika vizuri siwezi kukubali. Kigezo pekee cha ubora wa MBA ni labour market yaani kukidhi mahitaji ya waajiri. Tatizo kama kuna lecturers wanatoa marks au maswali kwa wanafunzim kabla ya mtihani ni tatizo binafsi na wala siyo mwongozo wa Chuo Kikuu Mzumbe, na tatizohili linapingwa kwenye nyanja zote za akademia.Vilevile matatizo ya mwajiri aliyekataa kupa kazi graduate wa Mzumbe nayo ni personal weakness ya huyo candidate ambayo hayana uhusiano na chuo. Unahitaji kuwa kipofu kabisa na mbumbumbu ilim kubeza uwezo wa Mzumbe University katika fani za biashara, uhasibu, HR, Uchumi na katika nchi hii kwani kuna tafiti zilikwisha fanywa na taasisi kama ESAURP kuonyesha ubora wa wahitimu wa Mzumbe katika siko la ajira. Ukiangalia demand tu ya wanaotaka kusoma Mzumbe Universitykwenye campus ya Dar es Salaam itakushawishi tu kuona kuwa hiyo ni hot cake.
Senator nina wasiwasi kama wewe umesoma elimu ya chuo kikuu. Kwa kuwa unalink tatizo binafsi la performance ya individual na chuo siyo sawa. Je ni sahihi tuidharau UDSM kwa sababu ya perormance mbovu ya JK ambaye ni mhitimu wa chuo hicho wa mwaka 1975? Au tukidharau UDSM kwa usimamizi mbovu wa Kivuitu aliyekuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya Kenya kwenye matokeo ya mwaka 2008. Kivuitu ni mhitimu wa UDSM pia!we nae cjui hata umetokea wapi,kuna chuo kinatoa wanafunzi ambao hawajui lolote kama mzumbe hapa tz?unakuta m2 ana masterz lakin hana tofauti na 1st year student...peleka huu ujinga wako huko huko mzumbe na co hapa kwa jukwaa la great thinkers.
Kuuuumbeee ndivyo!!..Naanza kuelewa somo sasa. Asante kwa kunifunua na kuniweka wazi mkuu. Nimegonga senkyu, bai ze wei.Uingereza Masters zao zote ni mwaka 1 tena 98% ya masters zao ni mwaka mmoja je, hizo za mzumbe za miaka miwili mnaita voda fasta mara maharage ya mbeya....Je hizo za UK mtaziitaje sasa? Hli jungu limepigwa na UDMS humu kwasababu now inakosa wanafunzi kutokana na ukiritimba wao...
Sio kweli!! Mzumbe 'is tha one of tha most respected university in tz.
bro,mjadala wa vyuo ulishaga fungwa sku nying,na ni obvious tz kuna vyuo viwili,udsm na sua!wala hata ucpgzane kelele na m2 yeyote..Acha kudanganya watu wewe kima! ukisema hivyo UDSM na SUA tuiweke wapi? Chuo hakipo hata ktk ramani ya Africa! wewe vipi bana? acha ushabiki wa kingese ngese! Yaani unasifia hata jambo usilolijua, unakurupuka tu! K wewe!
Uingereza Masters zao zote ni mwaka 1 tena 98% ya masters zao ni mwaka mmoja je, hizo za mzumbe za miaka miwili mnaita voda fasta mara maharage ya mbeya....Je hizo za UK mtaziitaje sasa? Hli jungu limepigwa na UDMS humu kwasababu now inakosa wanafunzi kutokana na ukiritimba wao...