Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
Nilisema mwanzoni kuwa mtu anaweza kuwa safi kwa sababu hajawahi kuwa karibu na uchafu; na mtu mwingine anaweza kuwa safi kwa sababu aliuondoa uchafu..
Kupata mtu safi Tanzania impossible (sophia simba ccm waziri wa maadili)
Kuondoa uchafu kwa kutumia demokrasi (impossible maana wenye nazo watanunua wenye njaa kwenye system)
Options: Overhaul the system tena kwa kushtukiza wala usitoe taarifa maana watajiandaa..na kuwa sehemu ya mkakati wenu.