SABA SABA KUKO VUZURI SANA!,

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
22,734
Reaction score
27,452
Nimewasili sabasaba kushuhudia maonesho haya nikidhani labda njiani ningepata vikwazo lakini hakuna kikwazo chochote,ni kweli askari wapo wengi sana,lakini hawana shida na mtu yeyote yule,
---TUTOKE TWENDENI HALI NI SHWARI SANA SANA ---
 

WATU WASIJIDANGANYE KUTOKA. UKIONA TU ASKARI WAPO WENGI UJUE HALI SI NJEMA. SO MSIJE MKATOKA MKAKUTANA NA RISASI KAMA OCT 29
 
ni kweli pako shwari kabisa. Unaweza kudondosha waleti yenye hela na ukaoletewa...Faida moja wapo ya Wanaharakati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…