Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,007
- 13,799
Saa nzur kabisa.Ni orijino na imara sana.Wahi sasa ujipatie saa yako kwa bei sawa na ya kutupa.Ukiwa mjanja hata bure unapata.
Usichukulie serious mkuuHii iko kishule zaidi,sio umeingalia tu ukaona ni stainless steel na leather strap ukaipenda,hii itakutoa kwenye mstari...
Hahahaha kubabake that's a programmer's watch....hapo ka upo hoi hesabu subir kifo2...
Wale tusiopenda mchezo wa hesabu saaaasa