Saa inakaribia ambapo Watanzania wote tutaongea lugha moja

Saa inakaribia ambapo Watanzania wote tutaongea lugha moja

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,560
Reaction score
57,885
Sio TISS,
Sio POLICE
Sio JWTZ,
Sio mahakama
Sio Bunge
Sio Wana CCM
Sio wanachadema kabla ya mwezi 7 kuisha mwaka huu tutakuwa tunaongea lugha moja!!

Ogopa Sana wakati wa Mungu

Ogopa Sana machozi ya watu

Ogopa vilio vya watu zaidi ya 83 waliotekwa na kupotea pamoja na ndugu zao!!.

Ogopa Sana maombi misikitini na makanisani

Hizi harakati za no reform no Election ni lashalasha tu

Saa yaja ambapo Vita itakuwa Kati ya watu million 60 dhidi ya kikundi Cha wauaji na watekaji 20.

Wakina Gwajima wapo wengi Sana ndani na nje ya ccm..

Baada ya 2025 Tanzania itakuwa nchi salama zaidi ya kuishi duniani Kama ilivyokuwa miaka 10 iliyopita.
 
Sio TISS,
Sio POLICE
Sio JWTZ,
Sio mahakama
Sio Bunge
Sio Wana CCM
Sio wanachadema kabla ya mwezi 7 kuisha mwaka huu tutakuwa tunaongea lugha moja!!

Ogopa Sana wakati wa Mungu

Ogopa Sana machozi ya watu

Ogopa vilio vya watu zaidi ya 83 waliotekwa na kupotea pamoja na ndugu zao!!.

Ogopa Sana maombi misikitini na makanisani

Hizi harakati za no reform no Election ni lashalasha tu

Saa yaja ambapo Vita itakuwa Kati ya watu million 60 dhidi ya kikundi Cha wauaji na watekaji 20.

Wakina Gwajima wapo wengi Sana ndani na nje ya ccm..

Baada ya 2025 Tanzania itakuwa nchi salama zaidi ya kuishi duniani Kama ilivyokuwa miaka 10 iliyopita.
Ongeza na CHAWA
 
Sio TISS,
Sio POLICE
Sio JWTZ,
Sio mahakama
Sio Bunge
Sio Wana CCM
Sio wanachadema kabla ya mwezi 7 kuisha mwaka huu tutakuwa tunaongea lugha moja!!

Ogopa Sana wakati wa Mungu

Ogopa Sana machozi ya watu

Ogopa vilio vya watu zaidi ya 83 waliotekwa na kupotea pamoja na ndugu zao!!.

Ogopa Sana maombi misikitini na makanisani

Hizi harakati za no reform no Election ni lashalasha tu

Saa yaja ambapo Vita itakuwa Kati ya watu million 60 dhidi ya kikundi Cha wauaji na watekaji 20.

Wakina Gwajima wapo wengi Sana ndani na nje ya ccm..

Baada ya 2025 Tanzania itakuwa nchi salama zaidi ya kuishi duniani Kama ilivyokuwa miaka 10 iliyopita.
Rubish..huo wakati mtasubiri sana!!
 
Sio TISS,
Sio POLICE
Sio JWTZ,
Sio mahakama
Sio Bunge
Sio Wana CCM
Sio wanachadema kabla ya mwezi 7 kuisha mwaka huu tutakuwa tunaongea lugha moja!!

Ogopa Sana wakati wa Mungu

Ogopa Sana machozi ya watu

Ogopa vilio vya watu zaidi ya 83 waliotekwa na kupotea pamoja na ndugu zao!!.

Ogopa Sana maombi misikitini na makanisani

Hizi harakati za no reform no Election ni lashalasha tu

Saa yaja ambapo Vita itakuwa Kati ya watu million 60 dhidi ya kikundi Cha wauaji na watekaji 20.

Wakina Gwajima wapo wengi Sana ndani na nje ya ccm..

Baada ya 2025 Tanzania itakuwa nchi salama zaidi ya kuishi duniani Kama ilivyokuwa miaka 10 iliyopita.


Nadhani hii No reform Now Election ingeanza kuzuia Bunge kuvunjwa mpaka lifanye Reform .
Iwe ndio hatua ya kwanza ya kudai Reform .
Paitishwe maandamano makubwa siku ya kuvunja bunge na Samia aendelee na urais wake mpaka wafanye Reforms .
Bunge lisivunjwe kwanza mpaka wapelekwe mswada wenye maoni ya wadau wa demokrasia

Wakilazimisha kuvunja Bunge kwa nguvu ya Dola awamu ya pili iwe ni uchaguzi .

Lakni kukaa kizembe Bunge likavunjwa na Samia na wabunge wake waliompa zawadi watakua wamejihakikishia ushindi mkubwa kwa matendo yao maovu .
 
Sio TISS,
Sio POLICE
Sio JWTZ,
Sio mahakama
Sio Bunge
Sio Wana CCM
Sio wanachadema kabla ya mwezi 7 kuisha mwaka huu tutakuwa tunaongea lugha moja!!

Ogopa Sana wakati wa Mungu

Ogopa Sana machozi ya watu

Ogopa vilio vya watu zaidi ya 83 waliotekwa na kupotea pamoja na ndugu zao!!.

Ogopa Sana maombi misikitini na makanisani

Hizi harakati za no reform no Election ni lashalasha tu

Saa yaja ambapo Vita itakuwa Kati ya watu million 60 dhidi ya kikundi Cha wauaji na watekaji 20.

Wakina Gwajima wapo wengi Sana ndani na nje ya ccm..

Baada ya 2025 Tanzania itakuwa nchi salama zaidi ya kuishi duniani Kama ilivyokuwa miaka 10 iliyopita.

View: https://www.facebook.com/share/v/1CMtxV3ZWC/?mibextid=xfxF2i
 
Sio TISS,
Sio POLICE
Sio JWTZ,
Sio mahakama
Sio Bunge
Sio Wana CCM
Sio wanachadema kabla ya mwezi 7 kuisha mwaka huu tutakuwa tunaongea lugha moja!!

Ogopa Sana wakati wa Mungu

Ogopa Sana machozi ya watu

Ogopa vilio vya watu zaidi ya 83 waliotekwa na kupotea pamoja na ndugu zao!!.

Ogopa Sana maombi misikitini na makanisani

Hizi harakati za no reform no Election ni lashalasha tu

Saa yaja ambapo Vita itakuwa Kati ya watu million 60 dhidi ya kikundi Cha wauaji na watekaji 20.

Wakina Gwajima wapo wengi Sana ndani na nje ya ccm..

Baada ya 2025 Tanzania itakuwa nchi salama zaidi ya kuishi duniani Kama ilivyokuwa miaka 10 iliyopita.
Tunaelekea...
 
Sio TISS,
Sio POLICE
Sio JWTZ,
Sio mahakama
Sio Bunge
Sio Wana CCM
Sio wanachadema kabla ya mwezi 7 kuisha mwaka huu tutakuwa tunaongea lugha moja!!

Ogopa Sana wakati wa Mungu

Ogopa Sana machozi ya watu

Ogopa vilio vya watu zaidi ya 83 waliotekwa na kupotea pamoja na ndugu zao!!.

Ogopa Sana maombi misikitini na makanisani

Hizi harakati za no reform no Election ni lashalasha tu

Saa yaja ambapo Vita itakuwa Kati ya watu million 60 dhidi ya kikundi Cha wauaji na watekaji 20.

Wakina Gwajima wapo wengi Sana ndani na nje ya ccm..

Baada ya 2025 Tanzania itakuwa nchi salama zaidi ya kuishi duniani Kama ilivyokuwa miaka 10 iliyopita.

Mtawala ukianzisha Magenge yako ya Utekaji Watu, lazima atambue kwamba baadhi ya Watu wema waliopo karibu yake lazima watamsaliti na kuungana na Watu wema wengine waliopo nje ya Mfumo wa Utawala
 
Shibe tu inakupa jeuri huna lolote lakini kumbuka hakunaga “hali ya kudumu!” ukiona unakula unashiba sana ipo siku ya njaa inakuja.
Dua la kuku hilo...fanyeni kazi mmekalia siasa tu
 
Back
Top Bottom