technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,560
- 57,885
Sio TISS,
Sio POLICE
Sio JWTZ,
Sio mahakama
Sio Bunge
Sio Wana CCM
Sio wanachadema kabla ya mwezi 7 kuisha mwaka huu tutakuwa tunaongea lugha moja!!
Ogopa Sana wakati wa Mungu
Ogopa Sana machozi ya watu
Ogopa vilio vya watu zaidi ya 83 waliotekwa na kupotea pamoja na ndugu zao!!.
Ogopa Sana maombi misikitini na makanisani
Hizi harakati za no reform no Election ni lashalasha tu
Saa yaja ambapo Vita itakuwa Kati ya watu million 60 dhidi ya kikundi Cha wauaji na watekaji 20.
Wakina Gwajima wapo wengi Sana ndani na nje ya ccm..
Baada ya 2025 Tanzania itakuwa nchi salama zaidi ya kuishi duniani Kama ilivyokuwa miaka 10 iliyopita.
Sio POLICE
Sio JWTZ,
Sio mahakama
Sio Bunge
Sio Wana CCM
Sio wanachadema kabla ya mwezi 7 kuisha mwaka huu tutakuwa tunaongea lugha moja!!
Ogopa Sana wakati wa Mungu
Ogopa Sana machozi ya watu
Ogopa vilio vya watu zaidi ya 83 waliotekwa na kupotea pamoja na ndugu zao!!.
Ogopa Sana maombi misikitini na makanisani
Hizi harakati za no reform no Election ni lashalasha tu
Saa yaja ambapo Vita itakuwa Kati ya watu million 60 dhidi ya kikundi Cha wauaji na watekaji 20.
Wakina Gwajima wapo wengi Sana ndani na nje ya ccm..
Baada ya 2025 Tanzania itakuwa nchi salama zaidi ya kuishi duniani Kama ilivyokuwa miaka 10 iliyopita.