S400 missile systems mbioni kutua Uturuki

S400 missile systems mbioni kutua Uturuki

ze kokuyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2014
Posts
7,476
Reaction score
9,654
Uturuki yakubali kulipa dola bilioni 2.5 ($2.5bn) kwa ajili ya kununua mfumo wa anga wa Russia S400.

Dili hilo linahusisha ununuzi wa mitambo hiyo na pia teknolojia iliyotumika kwa uturuki(technology transfer) .Lakini mpaka sasa muda wa kutia saini dili (makubaliano) hilo bado haujawekwa wazi.
Dili hilo litahusisha ununuzi wa mitambo miwili ya S400 kwa Uturuki.

Mitambo hiyo ya S400 itatengenezwa Urusi na kupelekwa hadi Uturuki na pia kutokana na dili hilo Uturuki itaruhusiwa kutengeneza (assemble)mitambo mingine miwili ya aina hiyo wao wenyewe.
9e6289bfa6b07b473f1bcc958a73306a.jpg
 
That's peanut money compared to that of Trump to Saudia's worth USD 350 bn/= the largest ever in mankind history.

Alaska yenye ukubwa wa 1.718 sq. km (almost twice the size of TZ) US aliinunua kutoka kwa warusi for just 7m/-
 
That's peanut money compared to that of Trump to Saudia's worth USD 350 bn/= the largest ever in mankind history.

Alaska yenye ukubwa wa 1.718 sq. km (almost twice the size of TZ) US aliinunua kutoka kwa warusi for just 7m/-
Halafu sijui kwa nini Urusi hajifunzi yani... Maana ile S300 ya Ugiriki Israel na NATO kila siku wanaifanyia mazoezi kutafuta countermeasures zake.
Leo wanawapa Turkey S400 sitashangaa baada ya miaka 5-10 nikaona S400 ikiwa mazoezini na Marekani na NATO kiujumla ikiwemo Israel
 
That's peanut money compared to that of Trump to Saudia's worth USD 350 bn/= the largest ever in mankind history.

Alaska yenye ukubwa wa 1.718 sq. km (almost twice the size of TZ) US aliinunua kutoka kwa warusi for just 7m/-
parkage vs commodity
 
That's peanut money compared to that of Trump to Saudia's worth USD 350 bn/= the largest ever in mankind history.

Alaska yenye ukubwa wa 1.718 sq. km (almost twice the size of TZ) US aliinunua kutoka kwa warusi for just 7m/-
Sasa kwahiyo unataka kusema nini?

Sent from my GT-I9152P using JamiiForums mobile app
 
Naona inaenda pelekwa NATO maana yake wataidukua
Ni kweli uturuki ni mwanachama wa nato but km utakuwa makini kwa siku za hivi karibuni relationship ya uturuki na EU imeshuka kwa kasi kubwa mno, siku ya Jana km nitakuwa sijakosea rais wao kawasemea mbovu EU

Sent from my GT-I9152P using JamiiForums mobile app
 
Halafu sijui kwa nini Urusi hajifunzi yani... Maana ile S300 ya Ugiriki Israel na NATO kila siku wanaifanyia mazoezi kutafuta countermeasures zake.
Leo wanawapa Turkey S400 sitashangaa baada ya miaka 5-10 nikaona S400 ikiwa mazoezini na Marekani na NATO kiujumla ikiwemo Israel
71133c21d4b8b6ff01422cd7f1499249.jpg


Sent from my GT-I9152P using JamiiForums mobile app
 
Halafu sijui kwa nini Urusi hajifunzi yani... Maana ile S300 ya Ugiriki Israel na NATO kila siku wanaifanyia mazoezi kutafuta countermeasures zake.
Leo wanawapa Turkey S400 sitashangaa baada ya miaka 5-10 nikaona S400 ikiwa mazoezini na Marekani na NATO kiujumla ikiwemo Israel
Ukiona hivyo wamekubali kuwauzia na technology ujue wao tayari wako level nyingine kabisa hiyo tayari kwao outdated
 
Back
Top Bottom