wanaweza kuwa ni watanzania wa aina yako,sam ruhuza,peter serukamba na wengine wengi ambao tunaishi nao kwa mashaka!mtanzania wa kweli na mauaji ya karegeya wapi na wapi,alituhusu nini sisi karegeya hasa!na vipi nyamwasa nae ni mla wake za watu ndio mana wanataka kumuua?
Sikujua kwamba kuna madaraja ya u-Tanzania. Hakuna anayefurahia kufa kwa Karegeya. To me his passing was similar to that of Osama, "sheikh" Ilunga, Hitler, Saddam, Mussolini, Himmler, Hess, Pinochet and other despotic s.o.b's who have ruined this world based on hate. Kama Nyamwasa ni mla wake za watu mimi sijui. Ila madhambi yake aliyoyafanya Rwanda yanajulikana. He was sentenced by an independent judiciary to 24 years in absentia for the evils he's done, this I know. Who knows what other bad things he's done. He can run and hide, but not for long.