Rwanda yawarejesha watanzania 77

Rwanda yawarejesha watanzania 77

anjo

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2009
Posts
299
Reaction score
97
Taarifa za kuaminika ni kuwa Rwanda imewarejesha watanzania 77 waliopelekwa kama wahamiaji haramu.

Watu hao wamepokelewa mpakani Rusumo na maafisa husika wa zoezi KIMBUNGA.

Kwa hili nafikiri tutajikuta tunaishi na watu ambao tumewaita wahamiaji haramu na itatuletea chuki isiyo ya lazima.

Tuwaombe vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kuwa makini katika zoezi hili. Asiachwe mhamiaji haramu na asipelekwe ambaye siye kama ilivyoonekana leo Rusumo.

Anjo
 
Source mkuu maana hii ni taarifa nyeti sana.

Nafikiri pia swala la contradiction linahusisha maridhiano ya pande zote mbili hali kazalika ukute hao waliorudishwa waliunga tela wakati wenzao wanarudi yote ya wezekana ndo maana nakuambia dadavua kiunagaubaga kidogo hii taarifa but thanks for information
 
Chanzo cha tarifa yako mkuu ili tukuamini zaidi vinginevyo tunataniana.
 
Habari hii ni nzito sana. Hebu tuambie source ya hii newz Mkubwa.
 
kama ni 77 tu ukichanganya na wale waliolewa na watanzania ambao wao masharti yao yamepunguzwa basi hili zoezi limekwenda vizuri sana!!!
 
Hata kama ni Kweli Zoez kubwa kama hilo maosa madogo madogo kama hayo yanavumilika, hali ilikuwa mbaya asilimia 36% ya Ngombe wa wanyarwanda waligeuza Kagera kuwa Malisho yao, Kagame yuko Hoi alitegemea kutega Mabomu Ngara kupitia hawa Wanaharamu sasa Kichaka cha Kiburi tumekifyeka, aje kivingine!
 
du!!! hao nafikiri wapelekwe kwa mungu , na hapo ndipo tunasema haki ya mtu haipotei ila itachelewa tu, wajiandae kwenda canada maana wo ndiyo wanapenda hao wa hivyo na unaishi canada safi na kulipwa juu
 
Hata kama ni Kweli Zoez kubwa kama hilo maosa madogo madogo kama hayo yanavumilika, hali ilikuwa mbaya asilimia 36% ya Ngombe wa wanyarwanda waligeuza Kagera kuwa Malisho yao, Kagame yuko Hoi alitegemea kutega Mabomu Ngara kupitia hawa Wanaharamu sasa Kichaka cha Kiburi tumekifyeka, aje kivingine!

Akija kivingine itakuwa ndo gia ya kutoka madarakani kwa huyo Kagame.
 
hao itakua wamesahau kwao, au wametumwa hao, wanajifanya kuwa si wa rwanda waje watuletee mabalaa, kama vp waishi mpakani
 
hata kama ni kweli zoez kubwa kama hilo maosa madogo madogo kama hayo yanavumilika, hali ilikuwa mbaya asilimia 36% ya ngombe wa wanyarwanda waligeuza kagera kuwa malisho yao, kagame yuko hoi alitegemea kutega mabomu ngara kupitia hawa wanaharamu sasa kichaka cha kiburi tumekifyeka, aje kivingine!

mpenda vya bure kagame!
 
Back
Top Bottom