BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
nimeshikw ana kigugumizi leo nilipoona itv habari rwanda wamekubali sheria ya utoaji mimba kwa minajili
1.kama mhusika alibakwa na akizaliwa mtoto atokuwa na uwezo wa kumhudumia
2.kama alibeba mimba za mabosi kwa minajili ya kupata kazi na ana uhakika awezi kuitunza hivyo inachukuliwa alibeba mimba sababu ya shida
na zingine nyingi kwa habari zaidi nunua
NIPASHE KESHO
1.kama mhusika alibakwa na akizaliwa mtoto atokuwa na uwezo wa kumhudumia
2.kama alibeba mimba za mabosi kwa minajili ya kupata kazi na ana uhakika awezi kuitunza hivyo inachukuliwa alibeba mimba sababu ya shida
na zingine nyingi kwa habari zaidi nunua
NIPASHE KESHO