East African Eagle
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 3,759
- 2,209
Not sure na ulichoandika lakini Tanzania is not a biggest trading partner of Rwanda,na hata matumizi ya Dar port yamepungua sana na sasa almost 100% of Rwandans cargo zinapitia Mombasa,for now Uganda, Kenya and Eastern Congo ndio partner wao wakubwa kibiashara,Nafikiri businesses btn them is a lost opportunity baada ya deal LA kujenga reli kufa na hizi politics za sasa naona ndio zinaongezea,TZ alitakiwa aigeuze Rwanda customer wake 100% lakini naona Kenyatta kashinda for now...my wish and hope ni amani na uhusiano mzuri btn them, hizo politics zitapita tuu
Hahaaa, a very good question Mkuu!....So it is not wrong for Kagame to host Laurent Nkunda and M23 at his private home!
mkuu hiyo sahau nilisoma article moja kwenye net ni kwamba wapiganaji wa fdlr na wale wa jeshi la congo huwa wanashirikiana hata kwenye vita si unajua tena the enemy of your enemy is your friend!!!!
Mkuu, NasDaz, you said it very well.. You opened many's eyes that, "Kagame is afraid of FDRL becoming a Political Party"! That is nothing but a truth. Be blessed..kiongozi anayeweza kuchukizwa na kauli jenzi kama hii basi lazima atakuwa ni kiongozi wa ajabu! Kwamba hawa waasi wanashambulia nchi zao za asili, juhudi zifanyike kuzngumza ili kumaliza hii hali coz' risasi zimeshindwa kutoa suluhu; bado mtu anakuja juu! Khaaa, kweli Kagame ni mpenda vita! So, ikiwa wanaotaka mazungumzo hawafahamu wanachoongea, ina maana huyu Waziri anaamini suluhu ni vita!! Ajabu sana hii...ama kweli Kagame Regime should go, not tomorrow, but instantly! Wayahudi, pamoja na maguvu yao yote na uwezo wao usiopingika hata chembe kwenye masuala ya kijeshi, intelijensia, na mengine yote kama hayo; bado maguvu hayo yameshindwa kabisa kutatua mzozo wake na kataifa hoahae Palestina! Lakini huyu mtu na utawala wake bado hadi karne ya 21 wanaamini maguvu ndiyo suluhisho!! Narudia tena hapa. Sababu kubwa inayomfanya Kagame asitake mazungumzo na FDLR ni ukweli kwamba FDLR inawakilisha Wahutu ambao ni 80% ya Wanyarwanda wote. Kufanya nao mazungumzo FDLR ni kama kuwakalibisha kufanya siasa ndani ya Rwanda! Leo mazungumzo yakifanikiwa na FDLR kugeuka kuwa chama cha siasa; huo ndo utakuwa mwisho wa RPF kuongoza! Ikiwa hata hapa Tanzania kwenye misuguano midogo midogo ya kijamii bado kuna watu wanapiga kura kwa kuangalia kabila na dini; seuze Rwanda ambako ukabila unaondolewa kwa force badala ya utashi wa Wanyarwanda kubaini kwamba ukabila sio issue?
Kagame na puppets wake aache kudanganya Wanyarwanda! Hataki kufanya mazungumzo na FDLR simply because anaogopa FDLR kubadilika na kuwa chama cha kisiasa ambacho hatakuwa na ubavu wa kushindana nacho kwenye sanduku la kura!
c.c JokaKuu, Nguruvi3, jMali.
Haaa aaaahhh...kelele tuu mbona,waambie walianzishe tuu,anyway acheni kujidanganya na story zenu za kishabiki,war btn TZ and Rwanda will never happen period! Vita sio lelemama mjomba
Hivi ile energy and spirit btn Rwanda and TZ waliyoshirikiana kwenye multi billion projects like Rusumo Hydro power imeenda wapi?najua kulikuwa kuna mradi mkubwa wa reli pia Dar Isaka Kigali (what happened?),nafikiri its time kuangalia positives ambazo zinaweza kusaidia hizi nchi kuendelea mbele kuliko negativity zinazoendelea sasa,its not too late na ukiangalia vizuri sioni any serious conflict/problems btn these 2 countries
Acha ujinga wako, mbona siraha zilizotumika kuipindua serikali ya Habyarimana zilipita bandari hii hii ya Dar sasa iweje za FDLR zisipite Tanzania kwenda kuipndua serikali ya Kagame.Wacha double standard kijanaPres Kagame ni mtu makini sana. Hawezi kutaka vita na Tanzania kwani anajua wazi ndio mpango wa kumuondoa utakamilika. My heart bleeds to see my country Tanzania having a track record of backing Hutu extremist murderers. Kama kweli FDLR wamekuwa hosted na Tanzania basi nchi hii imepoteza mwelekeo. Naanza kuamini madai ya muda mrefu kuwa hata silaha wanazotumia waasi wa FDLR zinapitia bandari za Tanzania. Hii ni aibu. Kwa maoni yangu, Rais Kagame ana kila haki ya kushtushwa na hili la Tanzania allegedly hosting FDLR and those selfish, ungrateful RNC traitors. Huwezi kuwakarimu wauaji wa ndugu zangu halafu uje kunishauri eti nizungumze nao, it's simply preposterous.
He is number one enemy of Tutsi, that can be understood!...Unless otherwise when you say kigali u mean tutsis. Hivi do you think mkiacha kutumia bandari ya Dar es Salaam sisi tutaumia kwa lipi? Nyie ndio maisha yatawawia magumu kwa sababu kwa kanuni ndogo za kuichumi lazima bidhaa zipande bei kwa mlaji wa mwisho kwani kutumia bandari ya mombasa it is obvious that, gharama zitakuwa kubwa. Nyie jirekebisheni, acheni tabia zenu za uhutu na ututsi na kujiona nyie watutsi ni bora zaidi ya watu wengine wote; haya yote hayatakuwepo. Kwa hiyo tofauti zenu za kubaguana kusikokuwa na msingi hakutufanyi sisi Watanzania tuingie kwenye huo UPUMBAVU wenu.Kuna interest gani hapa for JK to host FDLR (number one enemy of Kigali), hii haitafikia kwenye army conflicts bts these two states(they know better) ila ninachoona uhusiano baina ya TZ na Rwanda umefikia mwisho na hakutakuwa na ushirikiano kwa chochote for the long time to come na sitashangaa kuona borders btn them zikifungwa,watakao umia ni wafanyabiashara kama Azam mwenye billions of businesses in Kigali,trucking business,Rwanda will stop using Dar port for good etc,na kwa hili naona sasa COW is the new EA...tofauti za kipuuzi za wanasiasa ambazo hazina maslahi ya nchi zinaishia kuharibu kazi na biashara za wananchi
mkuu hiyo sahau nilisoma article moja kwenye net ni kwamba wapiganaji wa fdlr na wale wa jeshi la congo huwa wanashirikiana hata kwenye vita si unajua tena the enemy of your enemy is your friend!!!!
Kachaguliwa na watutsi wenzake sio wanyarwanda......Kwataarifa yako kachaguliwa mara ya pili na wanyarwanda,nafikiri watanzania mkubali kwamba hapa mmekosea,mnayo yafanya siyo,rwanda ni najirani wenu,kusaidia wauaji nikujiharibia sifa yenu,kingine naona mnahamu ya vita,ni waulize kifua mnacho? au ni uswahili tu vitisho vya mdomo?
Kiongozi ni kweli kabisa. Unajua DRC jeshi lake ni genge la wahuni wabakaji na waporaji, hakuna discipline kabisa. Hata silaha za majeshi ya UN wamepewa FDLR. Hushangai kwa nini majeshi ya UN yamesitisha mandate yake ya kuondoa majeshi ya "waasi" baada ya M23? Kuna vikundi zaidi ya 17 Eastern Congo lakini UN wanapotezea. Nia ya UN ni kuivamia Rwanda through their proxy - FDLR. They "allegedly" arm those rebels na ndio maana wanapata kiburi cha kuzunguka kujitapa kwa kuwa wanajua wana msaada mkubwa wa UN na France.
Nauliza tena; ni lini majeshi ya UN yatashambulia FDLR??? Acheni propaganda za kutaka kumuondoa Rais halali wa Rwanda - Paul Kagame. Umoja wa Mataifa hauna mamlaka ya ki-maadili kuonyeshea vidole, wenyewe unahusika moja kwa moja kutaka kumpindua Pres Kagame. If it wasn't for enlightened world bigwigs like former Pres Clinton, the good Republican Senator Inhoffe and others, the UN would have already invaded Rwanda. Shame shame.
Kachaguliwa na watutsi wenzake sio wanyarwanda......
I am happy that sometimes you can talk sensible things. This is good; ila sasa nyie ndio muache mambo yanu maovu yanayosababisha hizi "chuki" zitokee!Hivi ile energy and spirit btn Rwanda and TZ waliyoshirikiana kwenye multi billion projects like Rusumo Hydro power imeenda wapi?najua kulikuwa kuna mradi mkubwa wa reli pia Dar Isaka Kigali (what happened?),nafikiri its time kuangalia positives ambazo zinaweza kusaidia hizi nchi kuendelea mbele kuliko negativity zinazoendelea sasa,its not too late na ukiangalia vizuri sioni any serious conflict/problems btn these 2 countries
kama ambavyo UN haikushambulia RPA wakati kagame alikuwa anaua wanyarwanda kwa miaka minne, ndivyo hivyo hivyo ambavyo haiwezi kuishambulia FDLR ambayo ndio ilikuwa serikali! Elewa kuwa FDLR kumpindua kagame sio mapinduzi kivile actually ni kurudi madarakani tu. kagame hakutakiwa kuwapo pale ni accident of history tu.
Tanzania iliwahi ku-host Kagame. List ni ndefu sana. Kitu kimoja ambacho Kigali must understand ni kuwa Tanzania haichaguliwi nani wa kuongea naye nani hapana.
Narudia wakati Marekani ipo katika wakati mgumu na Cuba, Fidel Castro alikuwa rafiki wa Tanzania tena akisaidia elimu kama ujenzi wa shule za Ruvu, Ifakara, Kilosa.
Tanzania ilikuwa na ubalozi wa Palestina pale Upanga na bendera ikipepea, si Mmarekani au mwisrael aliyewahi kuichagulia Tanzania nani wa kuongea naye.
Hawa wanyarwanda wanataka kuondoa ulimwengu katika mada ya Kagame na mauaji ya watu wake nje ya nchi.
Acha ujinga wako, mbona siraha zilizotumika kuipindua serikali ya Habyarimana zilipita bandari hii hii ya Dar sasa iweje za FDLR zisipite Tanzania kwenda kuipndua serikali ya Kagame.Wacha double standard kijana
Genocidaire mnanichekesha sana mnaposhindwa kutumia busara na kujibu hoja bila ya kutumia lugha za kejeli. Anyway, ni hivi si kweli kuwa silaha za RPA zilipitia Dar bali zilitoka Uganda. Rais Museveni kwa wingi wa fadhila zake kwa makamanda wa RPF waliomsaidia kuung'oa utawala dhalimu Uganda na kwa kutambua ulazima wa kusitisha mauaji ya halaiki ya watu wasio na hatia nchini Rwanda chini ya Rais Habyarimana na genge lake la wauaji, aliamua kuwapa silaha RPA. Wakati huo baadhi ya watanzania wakiwauzia silaha FAR na magenge mengine ya wahuni DRC na Burundi. Unafikiri silaha walizokuwa wanatumia CNDD-FDD na wengine walipata wapi? Unawajua arms brokers wakubwa Tanzania ni nani? Kama hujui tulia.
Rushasha mkuu naomba nitofautiane na wewe hapa. Rais Kagame alishinda kwa kishindo kwa kuwa anakubalika na sehemu kubwa (majority) ya wanyarwanda. Tutsis make up a mere 15% of the population. Lazima ukubali kuwa aliungwa mkono na wanyarwanda bila kuangalia "ukabila".
Kiongozi katika mambo ambaya Mwalimu alichemsha ni kuvunja uhusiano wa ki-balozi na taifa la Israel. Hili taifa lilikuwa na msaada mkubwa sana kwa nchi yetu hasa katika nyanja za kilimo cha umwagiliaji, ujenzi, afya na jeshi. Kila nikipita Mlalakuwa JKT nakumbuka msaada wa Israel katika kuanzisha na kutrain National Service. In fact hata sare za JKT ni zile zile za IDF. Nikuulize, ni nini tulichofaidikia kama nchi na taifa kwa kuwaunga mkono wapalestina? Ni hao hao waarabu on the dusty streets of Ramallah, Gaza, Hebron etc tuliowaona wakishangilia kwa furaha pale balozi za America zilipopigwa na mabomu mwaka 1998 na mamia ya waKenya na waTanzania kupoteza maisha. Walichofurahishwa nacho ni nini hasa? Wakati huo huo IDF walituma wataalam wa uokozi, matibabu na hata kupeleka watu Israel for treatment. Huu ni mfano mmoja tu. Ili Tanzania ibarikiwe ni lazima irudishe uhusiano kamili na taifa la Israel.